Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,903
- 1,360
system imelala!Very curious, inakuwaje hakuna hata mke kumuulizia? Kipindi cha Magu tungesema anaogopa, hadi hivi sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
system imelala!Very curious, inakuwaje hakuna hata mke kumuulizia? Kipindi cha Magu tungesema anaogopa, hadi hivi sasa?
Ndio muhusika?
HakikaHili suala la Lijenje lilipoa baada ya ile kesi ya Mbowe kwisha, jambo ambalo halikutakiwa kufanyika, ni kama vile tulichezewa "mind game" na CCM kuimaliza ile kesi haraka ili tumsahau Lijenje.
Ni wakati wa kupaza sauti ajulikane wapi alipo Lijenje, wale polisi watuhumiwa wa kumpoteza Lijenje wakamatwe na kuhojiwa.
Hata kama imeshathibitika polisi wetu hufanya kazi kwa maslahi ya CCM na kupandishwa vyeo, hili lisitukatishe tamaa kupaza sauti zetu ili ijulikane wapi alipo Moses.
Mimi na wewe ni sehemu ya ndugu zake. Tanzania ni nduguHuyu Moses hata ndugu hana?
Ni mpuuzi mmoja ambae hana kiki town anajaribu kucheki atoke vipi!!??Mwamakula anataffuta kick
Baada ya kuona watu wamempuuza na umaarufu wake kwisha
Nawaonea huruma sana watu ambao kazi yao eti ni kupoteza uhai wa watu ipo siku watalia na kusaga meno na hawata ona msaada kamwe.uhai ni ZAWADI ya kila binadamu na haipaswi kuchezewa na mtu awaye yote.Halafu akishakuwa maarufu iweje?
Acha hizo aiseee hapo yanazungumziwa maisha ya mwanadamu tena mwanaume mwenye familia.
Kuwa na huruma siasa za kingese zisikutoe kwenye kufikiria zawadi ya maisha tuliyopewa na muumba wetu.
Ajabu nyingine alikuwa mlinzi wa V.I.P Mbowe, hata chadema hawana habari nae.Kweli kabisa,hata marafiki zake makomandoo hawamtafuti au kumuulizia?