Askofu Mwamakula: Tusilale usingizi pasipo kujua Moses Lijenje yupo wapi na ana hali gani

Mwamakula anataffuta kick
Baada ya kuona watu wamempuuza na umaarufu wake kwisha
Acha upumbavu wako,hapa issue sio ya askofu, hapa ni maisha ya binadamu mwenzetu,mtanzania mwenzetu aliyekua na familia kama mimi na wewe, yaani bila hizi ID fake mtu kama wewe ningekutambua ningekuzomea kila wakati unapokwenda kwenye nyumba za ibada, maana wewe ni katili wa roho.
 
Aisee......
Kwa kweli tulifikia pabaya. Hebu fikiria mtu anapata wapi ujasiri wa kuomba tenda kutoka kwa Rais wa Tanzania ya kumuua Mtanzania na kui-post humu JF. Tulioisoma hiyo post tulipigwa butwaa!

Baadaye post hiyo inaonekana ilifutwa baada ya kuchangiwa na wazalendo wengi tu wakiulizia huu ujasiri unatoka wapi? Kwa shetani mwenyewe? Mashahidi wa hili ni wale wana JF wote walioisoma.

Hadi leo hii mtu huyo anayejiita YEHODAYA, bado anao uthubutu wa kuandika humu akimkebehi Askofu Mwamakula kwa kuhoji alipo Moses Lijenje! Yaani hadi leo haya makatili bado yapo yanadunda tu!

Kwa hakika inafikirisha sana!
 
Kumekucha !
 
Very curious, inakuwaje hakuna hata mke kumuulizia? Kipindi cha Magu tungesema anaogopa, hadi hivi sasa?
Sasa huyu mke anapoenda kuulizia ndio wanayemmiliki/ kumtupa unaona watafanyia kazi madai yake.
 
RIP commando!!
 
Mwamakula anataffuta kick
Baada ya kuona watu wamempuuza na umaarufu wake kwisha
Lazima una matatizo ya akili. Hapa tunaongelea juu ya uhai wa mtu, wewe u unaleta maneno ya kipuuzi kabisa.

Kama unafahamu mlikomtupa au mlikomweka, utuambie.
 
Mwamakula anataffuta kick
Baada ya kuona watu wamempuuza na umaarufu wake kwisha
acha ujinga wako bhana. kama jambo huna maslahi nalo kaa kimya? hivi leo mtu akihoji
zilipo pesa za pre bagaining anatafuta kiki?
mtu akihoji ni kina nani walimpiga lisu risasi ni kutafuta kiki?
kuhoji aliko Ben sanane ni kutafuta kiki?
yupo wapi anzory gwanda?
ujinga, ushamba na roho mbaya yako peleka lumumba mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…