Askofu Mwamakula: Tusilale usingizi pasipo kujua Moses Lijenje yupo wapi na ana hali gani

Huyo Malaya anayejiita yehodaya ni kimada WA mwendakuzimu , achaneni naye lengo lake hata enzi za makufuli kuandika ujinga kwenye mada critical kama hizi ili kudivert attention muishie kujibizana naye na kushindwa kujikita kwenye mjadala husika
 
Tena kama anajiamini kuwa anayozungumza ni sahihi ajitambulishe hadharani na raia watamtafuta wamsifu na kumpongeza. Ataje na anakoishi tuu ndugu yetu huyu YEHODAYA

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu unaweza kunitoa gizani suala la huyu bwana,ilikuaje?..maana nimeiona ni komandoi
 
Mwamakula anataffuta kick
Baada ya kuona watu wamempuuza na umaarufu wake kwisha
ACHA UJINGA !

Tuambie Moses lijenje yuko wapi!

Watoto wake wanamsumbua mama yao "Baba yuko wapi"!?

JWTZ WAUNGANE WAMTAFUTE MWENZAO KWANI NA WAO NI WASTAAFU WATARAJIWA!!
 
Askofu amekonda sana, sijui anaumwa nini
 
Mwanakondoo Amwshinda. Mungu amtetee sana Moses Lijenje.
 
Mwamakula anataffuta kick
Baada ya kuona watu wamempuuza na umaarufu wake kwisha
takataka mkubwa ww usilete siasa kwenye maisha ya watu uhai wa mtu ndo kila kitu watu wanahoji alipo lijenje ww unakashifu mbwa kooko ww
 
Halafu akishakuwa maarufu iweje?
Acha hizo aiseee hapo yanazungumziwa maisha ya mwanadamu tena mwanaume mwenye familia.
Kuwa na huruma siasa za kingese zisikutoe kwenye kufikiria zawadi ya maisha tuliyopewa na muumba wetu.
Magufuli aliharibu Sana mentality za hao matahila kina YEHODAYA , yaani wao mtu akiuliwa au kupotezwa kwao Ni sawa
 
Ndio maana Tundu Lissu anaomba ahakikishiwe usalama wake kabla ya kurudi jehanamu
 
Siku zote damu ya Binadam huwa inanuka
Ole wao wauaji hawa adhabu ya laana ipo juu yao, watoto na wajukuu wao!
Fuatilieni matukio ya familia za watu hawa kwa siku sijazo mtaona kitu ambacho sio kawaida!
Damu zitakuwa zinatafuna familia hizi kila uchwao!
 
Hizi sasa bangi, yaani niache kutafuta riziki kuendeleza maisha yangu eti nimtafute Moses Lijenje
 
nditolo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…