Askofu Mwamakula: Usalama wa maisha ya Peter Madeleka uko hatarini Gerezani kisongo, Arusha!

Achukuliwe hatua kwa kosa gani wa tanganyika mbona wengine kila mikutano ya CCM wapo akina sheik nani yule
 
Uchochezi wa askofu hapo ni upi Matongee ? Kapewa taarifa za siri za mpango wa kutaka kuangamiza roho isiyo na hatia naye kaileta hadharani kosa liko wapi hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungana na Lissu kwenda CHATO kutubu na kukiri UZALENDO wa Magu 🙏🙏
 
Wagalatia ni magaidi,wasichekewe kabisa,wanataka kuleta machafuko kama ya central Africa
Vice versa is true,

Dunia hii Ina Amani Kwa Sababu ya uwepo wa Watumishi na WATAKATIFU wa Mungu.

Hesabu na tunza jumla ya maneno ya kinywa chako, sababu utatolea hesabu!!
 
Hivi wewe unajiona una utimamu wa akili? Kwa upuuzi ambao huwa kila mara unaandika humu, kutakuwa na mtu aliyelaanika zaidi yako?

Unafiki ni thibitisho la laana unayoibeba nafsini mwako. Una bahati mbaya sana kwa sababu umelaanika lakini unaamini umebarikiwa. Kwa sababu hujitambui kuwa umelaanika, utabakia hovyp hivyo na laana yako imiendelea kukuandama siku zote za maisha yako.
 
Ina maana wamesoma content ya mada yako wakagundua haiendani na title. Ushukuru kwa kuwa wamekusaidia.

Jukwaa lina kanuni ambazo kila mwanajukwaa anastahili kuzitii.
 
Ficha upumbavu wako
Wewe hiyo habari siyo yako. Umeichota na kuja kuitungia kichwa chako cha habari. Wenye kazi yao wamekufundisha jinsi ya kuifanya hiyo kazi unaanza kulalamika.
Mimi ni Mpumbavu kweli na huwa siufichi, najivunia ili ikibidi nikuzidi.
 
Mchawi mpe mwanao akulelee, sisi huku nje tunawatazama tu.
 
Uchochezi wa askofu hapo ni upi Matongee ? Kapewa taarifa za siri za mpango wa kutaka kuangamiza roho isiyo na hatia naye kaileta hadharani kosa liko wapi hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa amekasirika, alitaka kuifubaza hii story kwa kuchomeka propaganda zake, bahati nzuri mods wakamshtukia wakabadilisha ujinga wake, sasa amenuna akafuta story yake, hakujua wagumu tunatwanga tu hata bila content, heading tu inatutosha.
 
Wewe hiyo habari siyo yako. Umeichota na kuja kuitungia kichwa chako cha habari. Wenye kazi yao wamekufundisha jinsi ya kuifanya hiyo kazi unaanza kulalamika.
Mimi ni Mpumbavu kweli na huwa siufichi, najivunia ili ikibidi nikuzidi.
Mimi ni Mpumbavu kweli na huwa siufichi, najivunia ili ikibidi nikuzidi[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

ahili FaizaFoxy alishalitolea ufafanuzi/Majibu[emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…