Askofu Mwamakula: Usalama wa maisha ya Peter Madeleka uko hatarini Gerezani kisongo, Arusha!

Bandari haiuzwi,wazalendo wapo kila kina hadi Magereza,watapike hela za mwarabu tu ndio pona yao.

"Sisi Askofu Mwamakula" ana maanisha nini,mara kadhaa naiona hii?

Mwenye ufahamu anijulishe
"Sisi Askofu Mwamakula" maana yake ni taasisi na si mtu.
Wa ovyo hawa jamaa
 
MAGUFULI: Ni kichaa peke yake anayeweza kuushabikia mkataba huu wa Kimangungo. IBARA 4 (2) ya mkataba huu inasema, Tanzania inapotaka kuweka mwekezaji mwingine maeneo mengine ya bandari inatakiwa iende Dubai kuomba ridhaa, Dubai wakikataa kutoa idhini ndio basi. Yaani nchi huru ikaombe ridhaa Dubai, kwa Mali zake? Huu uwendawazimu uko CCM ukishabikiwa na Wasira na Waitara.
 
Bandari haiuzwi,wazalendo wapo kila kona hadi Magereza,watapike hela za mwarabu tu ndio pona yao.

"Sisi Askofu Mwamakula" ana maanisha nini,mara kadhaa naiona hii?

Mwenye ufahamu anijulishe
Uaskofu ni Taasisi.
 
Madeleka akitoka poa tutasema kelele zimesaidia atoke poa au kelele ni uzushi tu?
 
Safi sana! Hakuna kuyumbishwa na propaganda za UDINI au ushenzi mwingine! warudishe mchongo wa watu mali zetu hazigawiwi kama njugu -----CC FaizaFoxy
 
sasa wewe unasema aache uchochez, wakati mtajwa kweli yupo hatarini! Hapo nani mchochezi? yeye au wewe utakaye yeye naye ashughurikiwe
 
Bandari haiuzwi,wazalendo wapo kila kona hadi Magereza,watapike hela za mwarabu tu ndio pona yao.

"Sisi Askofu Mwamakula" ana maanisha nini,mara kadhaa naiona hii?

Mwenye ufahamu anijulishe
Hii inaitwa "the royal "we"" au "majestic plural". Hutumika na viongozi ambao hata kiongozi akisema neno, neno hilo si lake yeye tu, linawakilisha maoni ya uongozi mzima, huwa linatumika sana na Wafalme.

Mfano, Mfalme Haile Selassie I, Negus Nagast, alikuwa mara nyingi anatumia "sisi" badala ya "mimi" kwa maana yeye anawakilisha watu wote, sio tu wanaoishi, bali pia waliofariki, waliopo na watakaokuja kuzaliwa.

Askofu Mwamakula inaonekana anatumia mfumo huu kuwakilisha maoni ya maaskofu, si maoni yake binafsi.

 
Asante Kwa elimu hii
 
JF=CHADEMA na CHADEMA= JF
 
Haka kaaskofu ni kachonganishi sana. Sasa mbona huyo Madeleka bado hajafa huko Kisongo?
 
Una uhakika wewe MATAGA?
 
Bandari haiuzwi,wazalendo wapo kila kona hadi Magereza,watapike hela za mwarabu tu ndio pona yao.

"Sisi Askofu Mwamakula" ana maanisha nini,mara kadhaa naiona hii?

Mwenye ufahamu anijulishe
Kwani nani alikuwa anauza bandari?
 
Achana nae huyo anayejiita Askofu. Anatafuta sana kiki na Serikali inamchukulia kama mwehu tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…