johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Askofu Mwamakula amesema Waliohujumu na kuiba kura kwenye Uchaguzi mkuu wa 2020 hawatofautiani na wanaohujumu wenzao Katika Chaguzi Ndani ya Vyama.
Kama CHADEMA kitasahau machozi ya 2020 na hakitasimamia haki katika Chaguzi zake basi kitakosa ujasiri wa kulalamika kama kitahujumiwa 2025.
Baba Askofu ameyasema haya Ukurasani X.
Kama CHADEMA kitasahau machozi ya 2020 na hakitasimamia haki katika Chaguzi zake basi kitakosa ujasiri wa kulalamika kama kitahujumiwa 2025.
Baba Askofu ameyasema haya Ukurasani X.