Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitaka kujua akili ya mtu, mpe nafasi ya kunena au kutenda.Askofu angekaimisha ibada kwa shemasi haya ni maamuzi ya kidikteta
Waumini hawajashirikishwa
Papa aingilie kati
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujioni ulivyokosa akili? Eti Papa aingilie kati. Yani umekaa kama kiroba hata hujui kinachoendelea huko alipo Papa.
Ukitaka kujua akili ya mtu, mpe nafasi ya kunena au kutenda.
Nishakwambia huna akili na nimekuthibitishia kutokana na ujinga ulioshauri. Bad enough kubishana na mwehu kama wewe naona unanipotezea tu muda wangu.Yani ulivyo tutusa unataka mimi niwaze kama wewe ?
Kwani papa anashindwa nini kuingilia?
Yanayoendelea Italy sio Tanzania
Usije ukafiri unauwezo mkubwa wa kuyatafakari mambo kumbe umejaa ujinga tu kichwani mwako
Shika adabu yako usinizoee
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mbona mnapenda kuwaaibisha wanaccm wenzenu wachache wenye akili.Askofu angekaimisha ibada kwa shemasi haya ni maamuzi ya kidikteta
Waumini hawajashirikishwa
Papa aingilie kati
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo wana akili zao, she huku za kushikiwa, "tusitishane" "kachape Kazi"Ni jambo jema maana hata Saudia mwezi wa Ramadan Ibada ni majumbani!
Aisee!!Askofu angekaimisha ibada kwa shemasi haya ni maamuzi ya kidikteta
Waumini hawajashirikishwa
Papa aingilie kati
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mbona mnapenda kuwaaibisha wanaccm wenzenu wachache wenye akili.
Endelea kueneza CHUKI ukiona ni faida kwa CCMAskofu angekaimisha ibada kwa shemasi haya ni maamuzi ya kidikteta
Waumini hawajashirikishwa
Papa aingilie kati
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia misimamo yake ilimuondoa padri karugendo asiye na nidhamu maadili.Linapokuja swala la maaskofu wasioyumba huyu ni mmoja wao misimamo yake ilipelekea mpaka akahojiwa uraia wake
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Nishakwambia huna akili na nimekuthibitishia kutokana na ujinga ulioshauri. Bad enough kubishana na mwehu kama wewe naona unanipotezea tu muda wangu.
Hongera sana mkuu!!Hiyo ndo maana halisi ya mchunga kondoo wa bwana hataki hata mmoja apotee
Najivunia kupewa kipaimara na baba askofu huyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka kujua akili mtu mpe nafasi ya kunena au kutenda.