AKASINOZO
JF-Expert Member
- Aug 22, 2016
- 1,367
- 2,219
Shukran mkuu huyu askofu ni hazina kwa taifa na kanisa namtabilia atakuja kuwa kadinal siku za usoniHongera sana mkuu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukran mkuu huyu askofu ni hazina kwa taifa na kanisa namtabilia atakuja kuwa kadinal siku za usoniHongera sana mkuu!!
Wewe Bia yao, kwenye Uzi mmoja nimeona mtu anakusikitikia kuwa mume atakaye kuoa atapata shida sana. Sasa na mimi nakubaliana na huyo mtuMkuu hawa Chadema huwa wanadhani Jamii forum ni mali yao
Lazima tuende nao kimafia
Akija kistaarabu atajibiwa, akija kibangi bangi atapewa za uso
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliwahi kuwa Rais wa Baraza la Maaskofu hakika nafasi yake aliitendea vema sanaKweli kabisa. Hivi walishamrejeshea paspoti yake? Huyu ndio alitakiwa amrithi Pengo hapa Dar. Hongera sana Baba Askofu NiweMugizi.
Huyo anajita Bia kujifanya afanane na Pombe shetwani wahedi huyuMkuu achana naye. Ukiona majina kama BIA YETU, MAGONJWA MTAMBUKA, ujue hapo ni shida
Kwa lugha rahisi ni kwamba kaenda kinyume na kauli ya maguKanisa Katoliki Jimboni Rulenge-Ngara, wamesitisha kabisa Ibada/misa. Watu wasali nyumbani! Pia amewataka waumini wajikinge na COVID-19 na kuchukua tahadhari
Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge-Ngara limesema limesitisha Ibada za Misa, maadhimisho mengine yanayokusanya Waumini wengi Kanisani na sala za Jumuiya kwa muda wa mwezi mmoja kuanzia Aprili 19, 2020
Askofu Severine Niwemugizi wa Jimbo hilo amesema uamuzi huo umefikiwa baada ya kutafakari alama za nyakati na kujifunza kutoka kwa watu wa Ulaya, Marekani na nchi za jirani na hatua ambazo Baba Mtakatifu alizichukua kwa kutoa maelekezo kwa Maaskofu Wakatoliki Duniani na namna ya kuadhimisha Ibada
Amesema pamoja na kumshukuru Rais Magufuli kutotoa amri ya kufunga Makanisa na Misikiti, akihimiza kufanya ibada kumuomba Mungu atunusuru na janga hili, kama Mchungaji wa Jimbo la Rulenge-Ngara ameamua kuchukua uamuzi huo
Aidha, Askofu Niwemugizi amesema pale itakapowezekana wataomba redio Kwizera irushe adhimisho la Misa fupi na Waamini wafuatilie redioni. Baada ya mwezi kuisha Kanisa litaangalia hali ilivyo ili kama iliongeze muda
Pia, amewataka mapadre kuadhimisha misa peke yao kwa niaba ya waumini kuwaombea na kuiombea dunia ili Mungu atunusuru na #COVID19 hili na kuagiza sala za Jumuiya kufanyika ndani ya familia kwa familia moja moja
View attachment 1422602
Yani ulivyo tutusa unataka mimi niwaze kama wewe ?
Kwani papa anashindwa nini kuingilia?
Yanayoendelea Italy sio Tanzania
Usije ukafiri unauwezo mkubwa wa kuyatafakari mambo kumbe umejaa ujinga tu kichwani mwako
Shika adabu yako usinizoee
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe Bia yao, kwenye Uzi mmoja nimeona mtu anakusikitikia kuwa mume atakaye kuoa atapata shida sana. Sasa na mimi nakubaliana na huyo mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe Bia yao, kwenye Uzi mmoja nimeona mtu anakusikitikia kuwa mume atakaye kuoa atapata shida sana. Sasa na mimi nakubaliana na huyo mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona umepanick, huku jukwaani mbona utapagawa we dogo?
Kanisa Katoliki Jimboni Rulenge-Ngara, wamesitisha kabisa Ibada/misa. Watu wasali nyumbani! Pia amewataka waumini wajikinge na COVID-19 na kuchukua tahadhari
Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge-Ngara limesema limesitisha Ibada za Misa, maadhimisho mengine yanayokusanya Waumini wengi Kanisani na sala za Jumuiya kwa muda wa mwezi mmoja kuanzia Aprili 19, 2020
Askofu Severine Niwemugizi wa Jimbo hilo amesema uamuzi huo umefikiwa baada ya kutafakari alama za nyakati na kujifunza kutoka kwa watu wa Ulaya, Marekani na nchi za jirani na hatua ambazo Baba Mtakatifu alizichukua kwa kutoa maelekezo kwa Maaskofu Wakatoliki Duniani na namna ya kuadhimisha Ibada
Amesema pamoja na kumshukuru Rais Magufuli kutotoa amri ya kufunga Makanisa na Misikiti, akihimiza kufanya ibada kumuomba Mungu atunusuru na janga hili, kama Mchungaji wa Jimbo la Rulenge-Ngara ameamua kuchukua uamuzi huo
Aidha, Askofu Niwemugizi amesema pale itakapowezekana wataomba redio Kwizera irushe adhimisho la Misa fupi na Waamini wafuatilie redioni. Baada ya mwezi kuisha Kanisa litaangalia hali ilivyo ili kama iliongeze muda
Pia, amewataka mapadre kuadhimisha misa peke yao kwa niaba ya waumini kuwaombea na kuiombea dunia ili Mungu atunusuru na #COVID19 hili na kuagiza sala za Jumuiya kufanyika ndani ya familia kwa familia moja mo