#COVID19 Askofu Niwemugizi, asitisha Misa na Ibada zote Jimbo la Rulenge, awataka waumini Wasali Majumbani pia Wajikinge na Corona

#COVID19 Askofu Niwemugizi, asitisha Misa na Ibada zote Jimbo la Rulenge, awataka waumini Wasali Majumbani pia Wajikinge na Corona

Asante.

Kwa maana hiyo ina maana Kadinali ana cheo zaidi ya Askofu, hivyo sitashangaa huo uamuzi wa Askofu ukiondolewa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Uamuzi uondolewe na nani wakati hakuna sheria ya kanisa iliyovunjwa tofautisheni kanisa katoliki na madhehebu yasio na utaratibu yeye ndio bosi wa jimbo lake ata papa hamuingilii kama havunji sheria za kanisa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Uamuzi uondolewe na nani wakati hakuna sheria ya kanisa iliyovunjwa tofautisheni kanisa katoliki na madhehebu yasio na utaratibu yeye ndio bosi wa jimbo lake ata papa hamuingilii kama havunji sheria za kanisa


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hapa ndipo tatizo kubwa lililopo kanisa katoliki.Sheria za Kanisa hazotakiei kuwa juu ya sheria ya Mungu ambayo in Biblia.Biblia imeagiza watu wasiache kukusanyika kuabudu.Papa na Hugo askofu wanaagiza waumini wasikusanyike kuabudu Vatican na Jimbo la Rulenge Wapagani hao
Wamevunja sheria ya Mungu
 
Hapa ndipo tatizo kubwa lililopo kanisa katoliki.Sheria za Kanisa hazotakiei kuwa juu ya sheria ya Mungu ambayo in Biblia.Biblia imeagiza watu wasiache kukusanyika kuabudu.Papa na Hugo askofu wanaagiza waumini wasikusanyike kuabudu Vatican na Jimbo la Rulenge Wapagani hao
Wamevunja sheria ya Mungu

Kwahiyo wewe unadhani unaijua biblia kulikoni Pope au Askofu?
 
Hapa ndipo tatizo kubwa lililopo kanisa katoliki.Sheria za Kanisa hazotakiei kuwa juu ya sheria ya Mungu ambayo in Biblia.Biblia imeagiza watu wasiache kukusanyika kuabudu.Papa na Hugo askofu wanaagiza waumini wasikusanyike kuabudu Vatican na Jimbo la Rulenge Wapagani hao
Wamevunja sheria ya Mungu
Unajua dini wewe au unakariri bila ya kuwa na msingi wa imani?

Kristo alipoondoka Duniani aliacha mitume au aliacha Biblia?
 
Maamuzi OG
Kanisa Katoliki Jimboni Rulenge-Ngara, wamesitisha kabisa Ibada/misa. Watu wasali nyumbani! Pia amewataka waumini wajikinge na COVID-19 na kuchukua tahadhari


Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge-Ngara limesema limesitisha Ibada za Misa, maadhimisho mengine yanayokusanya Waumini wengi Kanisani na sala za Jumuiya kwa muda wa mwezi mmoja kuanzia Aprili 19, 2020

Askofu Severine Niwemugizi wa Jimbo hilo amesema uamuzi huo umefikiwa baada ya kutafakari alama za nyakati na kujifunza kutoka kwa watu wa Ulaya, Marekani na nchi za jirani na hatua ambazo Baba Mtakatifu alizichukua kwa kutoa maelekezo kwa Maaskofu Wakatoliki Duniani na namna ya kuadhimisha Ibada

Amesema pamoja na kumshukuru Rais Magufuli kutotoa amri ya kufunga Makanisa na Misikiti, akihimiza kufanya ibada kumuomba Mungu atunusuru na janga hili, kama Mchungaji wa Jimbo la Rulenge-Ngara ameamua kuchukua uamuzi huo

Aidha, Askofu Niwemugizi amesema pale itakapowezekana wataomba redio Kwizera irushe adhimisho la Misa fupi na Waamini wafuatilie redioni. Baada ya mwezi kuisha Kanisa litaangalia hali ilivyo ili kama iliongeze muda

Pia, amewataka mapadre kuadhimisha misa peke yao kwa niaba ya waumini kuwaombea na kuiombea dunia ili Mungu atunusuru na #COVID19 hili na kuagiza sala za Jumuiya kufanyika ndani ya familia kwa familia moja moja
View attachment 1422602
 
Kwenda kanisani ni Mungu aliyeagiza sio Askofu au papa.Kama in Maagizo ya Mungu papa na askofu hawana uwezo wala mamlaka ya kuzuia

Mungu aliagiza watu wasiache kukusanyika kumwabudu wao wanazuia makusanyiko ya kuabudu kama Nani?
Mungu alikupa akili ya kazi gani?
 
Kutokana na hiki ulichoandika hapa huoni Askofu nae kuna mamlaka anatakiwa kuisikiliza?

Labda sifahamu, hivi kati ya Askofu na Kadinali nani yupo juu ya mwingine?

Kama itatokea Kadinali yupo juu ya Askofu, sitashangaa siku za mbeleni hilo tamko la leo la Askofu likatenguliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Katika Jimbo maamuzi ya mwisho anayo Askofu
 
Mwoga asiye na imani anaogopa kuwa Mungu atampa corona kwenye ibada!!!!! Kazi ya Mungu sio kugawa corona ibadani lioga hilo halina imani ndio maana limejifungia ndani.
Huoni hata aibu kuandika huu ujinga?
 
Mkuu wa nchi ametangaza siku tatu za maombolezo kwa ajiri ya nchi kama mfalme wa Ninawi alivyofanya.Unafahamu fika kuwa kila utawala hapa duniani unatoka kwa Mungu, uwe mzuri au Mbaya.

Neno la mfalme huwa linaheshimika na Mungu analiheshimu. Rais wetu Magufuli amenena maneno mema juu ya Mungu na hii lazima Mungu atakuwa upande wake regadless ana dhambi au hana kwa sababu ameonyesha unyenyekevu kuliko wewe Askofu .

Mwenye unyenyekevu atainuliwa tu lakini mwenye kiburi atashushwa wakati Mkuu wa nchi anahimiza watu kuomba wewe Askofu unatangaza waumini wasiende kanisani. Unafikiri ndiyo umewapenda waumini wako?

Umwonyesha udhaifu mkubwa wa imani, hufai kuwa askofu. Umechanganya imani na siasa hufai kuongoza kondoo. Umemdhalilisha aliyekufia msalabani kwa sababu umeenda kinyume na matakwa ya mfalme wa nchi(rais) umeenda kinyume na Mungu, umeenda kinyume na Biblia.

Mbona sasa hao waumini wako ni wa mfalme wa nchi ambaye yeye Amemheshimu aliyezifanya mbingu na nchi. Kanisa tujifunze kuheshimu katiba, tujifunze kuendana na Biblia. Moyoni umejaa chuki halafu unajifanya mtumishi wa Mungu.Mungu yupi huyo labda miungu.

Nashauri ukatubu wewe uendaye kinyume na matakwa ya mfalme vinginevyo waweza kuwa mfano wa manabii ya baali kipindi cha Elia Mtishbi.
Mfalme gani anaye ua wenzie
 
Mkuu wa nchi ametangaza siku tatu za maombolezo kwa ajiri ya nchi kama mfalme wa Ninawi alivyofanya.Unafahamu fika kuwa kila utawala hapa duniani unatoka kwa Mungu, uwe mzuri au Mbaya.

Neno la mfalme huwa linaheshimika na Mungu analiheshimu. Rais wetu Magufuli amenena maneno mema juu ya Mungu na hii lazima Mungu atakuwa upande wake regadless ana dhambi au hana kwa sababu ameonyesha unyenyekevu kuliko wewe Askofu .

Mwenye unyenyekevu atainuliwa tu lakini mwenye kiburi atashushwa wakati Mkuu wa nchi anahimiza watu kuomba wewe Askofu unatangaza waumini wasiende kanisani. Unafikiri ndiyo umewapenda waumini wako?

Umwonyesha udhaifu mkubwa wa imani, hufai kuwa askofu. Umechanganya imani na siasa hufai kuongoza kondoo. Umemdhalilisha aliyekufia msalabani kwa sababu umeenda kinyume na matakwa ya mfalme wa nchi(rais) umeenda kinyume na Mungu, umeenda kinyume na Biblia.

Mbona sasa hao waumini wako ni wa mfalme wa nchi ambaye yeye Amemheshimu aliyezifanya mbingu na nchi. Kanisa tujifunze kuheshimu katiba, tujifunze kuendana na Biblia. Moyoni umejaa chuki halafu unajifanya mtumishi wa Mungu.Mungu yupi huyo labda miungu.

Nashauri ukatubu wewe uendaye kinyume na matakwa ya mfalme vinginevyo waweza kuwa mfano wa manabii ya baali kipindi cha Elia Mtishbi.
We ndo mjinga kabisa
 
Askofu huyo akili hana alipo Mungu shetani hakajagi awe corona au Nani.Hana Mungu huyu Askofu na hajui uwezo Wa Mungu

Na hajui kanisani kuwa Mungu akiwepo hakuna corona

Askofu mpagani huyo
Usiparamie Mambo usiyoyajua, mpagani wewe
 
Back
Top Bottom