Askofu Niwemugizi: Rais Magufuli aliagiza nirejeshewe Passport yangu na alisema 'Wewe ni Askofu wangu utanizika'

Hapa kuna chai kidogo kwa hiyo alijuaje kwamba yeye atatangulia kufa amuache Askofu kiasi kwamba amwambie yeye ndo atamzika?
Hayo maneno ama kayasema Magu akiwa hoi, au Askofu kapewa ujumbe wa Magu kumbe Magu mwenyewe keshavuta. Ni watu waliandaa mazingira ya mazishi, ili Askofu amwage maombi bila kinyongo
 
Atuambie pia tukio hilo lilimkumbusha nini juu ya kuwa yeye ni kiongozi wa kiroho, jamii na urai na kuhusu uzakendo wa Taifa lake.
Huyo Askofu mbona yuko vizuri sana? Aliweka msimamo hadi Magu karudisha Passport. Huyu siyo Kakobe aliyeubga mkono juhudi ndio wakarudishwa Passport
 
Huyo Askofu mbona yuko vizuri sana? Aliweka msimamo hadi Magu karudisha Passport. Huyu siyo Kakobe aliyeubga mkono juhudi ndio wakarudishwa Passport

Yule aliyesaidiwa kwenye matibabu yake ni yupi?
 
Hapa kuna chai kidogo kwa hiyo alijuaje kwamba yeye atatangulia kufa amuache Askofu kiasi kwamba amwambie yeye ndo atamzika?
Nadhani concept inafahamika mapadri na Wachungaji uongoza ibada za mazishi ndio maana akasema atamzika.
 
"Hapa we msafiri"
 
Unatengeneza tatizo halafu unalitatua chap.
Teuzi za kusifu na kuabudu zitakuwepo? Unamsifia kisha anakupa cheo
Pole sana mnyonge, raisi wa wanyonge hayupo tena
kwa hiyo Askofu Niwemugizi anataka ahongwe Passport ili amuzike Magufuli au? Mla rushwa mkubwa
 
KWA NINI TUFIKE HUKU KOTE
 
Upepo umevuma kwenda upande mwingine..."Askofu wa Makamanda" leo wamemgeuka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…