figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Askofu wa Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara, Mhashamu Severine Niwemugizi amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan kutojitukuza na badala yake kutoa nafasi ya kusikiliza maoni ya watu wengine hata kama hayafurahishi masikioni.
Ushauri huo wa Askofu Niwemugizi ni sehemu ya hotuba yake katika Maadhimisho ya Jubilee ya Miaka 25 ya upadre, hafla iliyofanyika wilayani Ngara mkoani Kagera ambapo Rais Samia alikuwa mgeni rasmi.
PIA SOMA:
- Askofu Niwemugizi amuomba Rais Samia asikubali kufananishwa na Mungu
Ushauri huo wa Askofu Niwemugizi ni sehemu ya hotuba yake katika Maadhimisho ya Jubilee ya Miaka 25 ya upadre, hafla iliyofanyika wilayani Ngara mkoani Kagera ambapo Rais Samia alikuwa mgeni rasmi.
PIA SOMA:
- Askofu Niwemugizi amuomba Rais Samia asikubali kufananishwa na Mungu