figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Usijidai mjuaji ukatutoa kwenye mada. Mada kuu ni ujumbe wa Askofui kwa serikali. Hayo mengine ni stori za kuzima mjadalaHuyo askofu mshenzi mnajua alichomfanyia askofu mwoleka?
Usimzuie kuongea!Usijidai mjuaji ukatutoa kwenye mada. Mada kuu ni ujumbe wa Askofui kwa serikali. Hayo mengine ni stori za kuzima mjadala
aanzishe uzi wake maana maudhui ya post yake hayana uhusiano na wito wa Askofu kwa serikali. Yaani anataka kulazimisha kile anachokiona kama 'uchafu' wa Askofu kizuie watu wasiunge mkono ujumbe wa askofu kwa serikali. Ameshaweka post nyingi kama hizi kwenye nyuzi zinazohusu mada hii, nyingine zimefutwa na nyingine anazirudisha.Usimzuie kuongea!
Askofu mwenyewe katoa ujumbe kua tutoe nafasi ya kusikiliza maoni ya watu wengine hata kama hayafurahishi masikioni, why Jazba?Usijidai mjuaji ukatutoa kwenye mada. Mada kuu ni ujumbe wa Askofui kwa serikali. Hayo mengine ni stori za kuzima mjadala
Sasa si useme basi !Huyo askofu mshenzi mnajua alichomfanyia askofu mwoleka?
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Huyu anataka kuzima sauti ya Askofu, ndio maana nimemwambia aianzishie uzi wake ili hii ionekane bila kuingiliwaAskofu mwenyewe katoa ujumbe kua tutoe nafasi ya kusikiliza maoni ya watu wengine hata kama hayafurahishi masikioni, why Jazba?
we takataka kabisaHuyo askofu mshenzi mnajua alichomfanyia askofu mwoleka?
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Mbona weye ulikuwa mteteaji wa umalaya na ushoga,porn-sites na upuuzi mwingi tu lile jukwaa la JLW.Nakuangalia tu.Huyo askofu mshenzi mnajua alichomfanyia askofu mwoleka?
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Hajakatazwa kutoa maoni bali anatakiwa afungue uzi wake ndio aandike huo umbea wake.Askofu mwenyewe katoa ujumbe kua tutoe nafasi ya kusikiliza maoni ya watu wengine hata kama hayafurahishi masikioni, why Jazba?
Ujumbe kuntu sana huu. Rais Samia ananiudhi kwa mambo mawili tu. Nayo ni kushupaza shingo kuhusu:-Askofu wa Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara, Mhashamu Severine Niwemugizi amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan kutojitukuza na badala yake kutoa nafasi ya kusikiliza maoni ya watu wengine hata kama hayafurahishi masikioni.
Labda si yeye ila ni mfumo wa kikundi chao ndio unaoshupaza shingo. Kwenda kinyume na mfumo wa 'kikundi' nayo yataka moyo.Ujumbe kuntu sana huu. Rais Samia ananiudhi kwa mambo mawili tu. Nayo ni kushupaza shingo kuhusu:-
(a) kesi ya Mbowe
(b) katiba mpya.
Labda.Labda si yeye ila ni mfumo wa kikundi chao ndio unaoshupaza shingo. Kwenda kinyume na mfumo wa 'kikundi' nayo yataka moyo.
Hili sio jiwe gizani. Ni jiwe moja kwa moja kwenye TargetAskofu wa Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara, Mhashamu Severine Niwemugizi amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan kutojitukuza na badala yake kutoa nafasi ya kusikiliza maoni ya watu wengine hata kama hayafurahishi masikioni...
Hata mimi mambo mengine ni ya kubadilisha kidogo kidogoUjumbe kuntu sana huu. Rais Samia ananiudhi kwa mambo mawili tu. Nayo ni kushupaza shingo kuhusu:-
(a) kesi ya Mbowe
(b) katiba mpya.
Duuh kuna watu mnavisrani na maisha magumu ndio chanzo.Huyo askofu mshenzi mnajua alichomfanyia askofu mwoleka?
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Huyo askofu mshenzi mnajua alichomfanyia askofu mwoleka
Tuambie alimfanya nini?Huyo askofu mshenzi mnajua alichomfanyia askofu mwoleka?
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app