Askofu Pengo ana upendo na watanzania? Awamu ya tano wakati wanaokotwa kwenye viroba na kupigwa risasi hakuongea! Ni rafiki mkubwa wa Makonda

Askofu Pengo ana upendo na watanzania? Awamu ya tano wakati wanaokotwa kwenye viroba na kupigwa risasi hakuongea! Ni rafiki mkubwa wa Makonda

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Najiuliza sana kuhusu huyu askofu lakini makosa jibu.

Askofu Pengo alikuwa mtu wa karibu sana wa waandamizi wa awamu ya tano. Wakati huo hakufungua mdomo wake kukemea chochote kile, japo baadhi ya watanzania, na pengine waumini wake aliowabatiza na kuwahibiria upendo, waliokotwa ndani ya viroba wakiwa wameuwawa.

Askofu Pengo mara kadhaa ameonekana akimuombea aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa DSM, Makonda, na wamekuwa wakitembeleana na kupiga picha.

Huu uzalendo ameutolewa wapi na ghafla hivi!

Juzi tu tuliambiwa ni mgonjwa, Leo anaongea kwa nguvu sana kama kuna kitu kimempa afya ya ghafla!

Ngoja maharage yarukeruke, yataiva tu. Pengo na wenzake tiwaache warukeruke, tutajua ya chini ya kapeti
 
Pengo ana asili ya wapi??
Sio mrundi wale waliokimbia machafuko wakawekewa kambi kule katavi???..

Kuna anaejua majina matatu ya Pengo?..
Manake nchi hii kumbe Msukuma ana asili ya Burundi..
Kakobe mrundi...
The list is so long...

Anaejua majina ya wazazi wa Pengo naomba aweke hapa..majina matatu

Natanguliza kuomba radhi kama hisia zangu sio sahihi...
 
Pengo ana asili ya wapi??
Sio mrundi wale waliokimbia machafuko wakawekewa kambi kule katavi???..

Kuna anaejua majina matatu ya Pengo?..
Manake nchi hii kumbe Msukuma ana asili ya Burundi..
Kakobe mrundi...
The list is so long...

Anaejua majina ya wazazi wa Pengo naomba aweke hapa..majina matatu

Natanguliza kuomba radhi kama hisia zangu sio sahihi...
Yote haya sababu ya hiyo DP world tu ?.... Kazi kweli kweli...
 
Pengo ana asili ya wapi??
Sio mrundi wale waliokimbia machafuko wakawekewa kambi kule katavi???..

Kuna anaejua majina matatu ya Pengo?..
Manake nchi hii kumbe Msukuma ana asili ya Burundi..
Kakobe mrundi...
The list is so long...

Anaejua majina ya wazazi wa Pengo naomba aweke hapa..majina matatu

Natanguliza kuomba radhi kama hisia zangu sio sahihi...
Hata akiwa na Asili ya Burundi ILa now ni Mtanzania
 
Hauna kibali cha kumchagulia wa kuwa rafiki wa askofu Pengo na hata wa kumuombea , Jenga hoja kwanini bandari haijauzwa Kwa DP World au kubinafsishwa Kwa maslahi mapana ya mwekezaji na si nchi , Hii vita SSH hataiona kama gunia la miba kichwani Kwa uzembe wa wanaomtetea kukosa hoja na mantiki na kubaki kuangalia madhaifu ya wakosoaji hasa ya kibinadamu. Uenda Jambo la bandari lipo Kwa nia njema ya maendeleo ya nchi yetu lakini wasemaji sasa ukute hata makabrasha ya uhalisia wa mkataba hawajanusishwa kazi kupiga blah blah tu.
 
Pengo ana asili ya wapi??
Sio mrundi wale waliokimbia machafuko wakawekewa kambi kule katavi???..

Kuna anaejua majina matatu ya Pengo?..
Manake nchi hii kumbe Msukuma ana asili ya Burundi..
Kakobe mrundi...
The list is so long...

Anaejua majina ya wazazi wa Pengo naomba aweke hapa..majina matatu

Natanguliza kuomba radhi kama hisia zangu sio sahihi...
Na mama asili yake wapi?
 
Huyu mzee anatabia za ki LGBT, watu wanaenda kanisani kufanya ibada halafu yeye anawaletea siasa na ramli chonganishi.
Wewe ni mpuuzi sanaa tubu hii dhambi itakutafuna wewe na familia yako kizazi na kizazi kwahili uliloandika nakuombea kila usiku Mungu akukumbushe ujutie kabla hujafa

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Pengo ana asili ya wapi??
Sio mrundi wale waliokimbia machafuko wakawekewa kambi kule katavi???..

Kuna anaejua majina matatu ya Pengo?..
Manake nchi hii kumbe Msukuma ana asili ya Burundi..
Kakobe mrundi...
The list is so long...

Anaejua majina ya wazazi wa Pengo naomba aweke hapa..majina matatu

Natanguliza kuomba radhi kama hisia zangu sio sahihi...
Warundi ndio wanataka kutuchafulia inchi yetu, tuwafkuze haraka sana
 
Back
Top Bottom