Askofu pengo kemea na serikali

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Mhadhama kadinali pengo,heshima kwako,kama ulivyokemea tamko la maaskofu kuwataka wananchi kuipigia kura ya hapana katiba pendekezwa,tunakuomba uikememee serikali kwa matangazo yao na wito wao kupitia vyombo mbali mbali kuwataka wananchi waipigie kura ya ndio katiba pendekezwa.kwa kuwa wew ni mpenda haki basi tenda haki.
 
Muhadhama ............kijana acha kukurupuka kutaja vyeo vya watu kimakosa na inaelekea hii topic umelishwa mdomoni uje kuisema hapa sijui unataka tukusaidie nini?

Mfuate ukampe huo ushauri wako then wafuate Mbatia, Slaa,Mbowe Lipumba, Lisu and the Like waache kampeni zao za Hapana!!
 

Ni busara kuandika lakini siyo busara kusema uongo. Siyo vema kumlisha mtu mzima maneno na kumuamrisha atakeleze matakwa yako. Kama hujui vyeo vya watu usitaje bure vyeo hivyo maana unachafua kazi za watu "Mhadhama" hakuna jina kama hilo duniani.
 

Unaye kurupuka ni wewe unayeingia kwa miguu yote minne huku povu likikutoka kama umekula samaki waliovuliwa kwa sumu...pole mkuu
 

Hili siyo jukwaa la elimu,kama wewe ni mwalimu basi nenda kawajibike kwenye jukwaa husika,kinachotakiwa ni ujumbe kufika.....pole mkuu
 
Pengo lazima apewe za uso kwani amekosa busara. Anaingilia siasa halafu anakuwa biased unategemea tusimpe za uso?
 
Unaye kurupuka ni wewe unayeingia kwa miguu yote minne huku povu likikutoka kama umekula samaki waliovuliwa kwa sumu...pole mkuu

Hakika sio bure umetumwa tena una mkataba wa kumchafua pengo wewe kutaka uonewe huruma na hoja yako mfu hapa acha kujaza saver tokaaa!!!
 
Hili siyo jukwaa la elimu,kama wewe ni mwalimu basi nenda kawajibike kwenye jukwaa husika,kinachotakiwa ni ujumbe kufika.....pole mkuu

Tulia upate dozi unakurupuka kuandika ushuzi unafikiri wana JF watakuvumilia!!!
 
Tulia upate dozi unakurupuka kuandika ushuzi unafikiri wana JF watakuvumilia!!!

Huko ni kutojitambua,na inaonyesha kuwa unaenseshwa na mihemuko ya kiitikadi,ni jambo gani nililoandika hukulielewa?
 
Huko ni kutojitambua,na inaonyesha kuwa unaenseshwa na mihemuko ya kiitikadi,ni jambo gani nililoandika hukulielewa?

Usijifanye kujitoa ufahamu!! Kibaraka wa CHONDOM mwaka huu lazima mfe kwa kihoro!!
 
Huko ni kutojitambua,na inaonyesha kuwa unaenseshwa na mihemuko ya kiitikadi,ni jambo gani nililoandika hukulielewa?

Umetoa hoja unatakiwa kutulia wanaJF wachangie sasa ukianza kuisimamia kama uko kwenye baiskeli
ya nini kuileta hapa?????????
Bora ungetafuta marafiki zako mkapeana majibu kuliko kutoa michango yako ya kutukana!!
Hoja yako ni nzuri ila unakoelekea siko unaipotezea maana hoja hii na kukaribisha michango isiyo comstructive na unakoelekea ni kubaya!!!!!
 
Huyu Pengo hawawezi kuikemea serikali ya ccm kwa sababu yeye mwenyewe ccm wapo naye .
Gwajima ndo mwenye uwezo wa kukemea serikali ya ccm.

Gwajima namkubali sana
 
Huyu Pengo hawawezi kuikemea serikali ya ccm kwa sababu yeye mwenyewe ccm wapo naye .
Gwajima ndo mwenye uwezo wa kukemea serikali ya ccm.
View attachment 254447


Gwajima namkubali sana

Afadhari dogo aka Buguruni camp umekuja kushika lindo eti umekuja kuongeza nguvu hapa tokaaaa Pengo sio size yako nenda kachangie hoja nyingine!! Nenda kamkemee huyu king'ang'anizi wa madaraka mbadilisha katiba ya chama ili abakie madarakani toka 2003 mpaka 2019 ukiweza uje hapa kuchangiaView attachment 254449
 

Akili ya mjinga huwaza ujinga hii mada inayohusu Pengo ukitaka mada kuhusu Mbowe kaandike thread yako utapata wachangiagi huko shuleni mnaendaga kusomea ujinga.
 
Usijifanye kujitoa ufahamu!! Kibaraka wa CHONDOM mwaka huu lazima mfe kwa kihoro!!

Mtakufa nyinyi machumia tumbo,kwani chama chenu cha mafisi kinaondolewa madarakani sijui mtakula wapi maana kila siku mnashinda lumumba kusujudia wanene,teeeh,teeeh,teeeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…