Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Mhadhama kadinali pengo,heshima kwako,kama ulivyokemea tamko la maaskofu kuwataka wananchi kuipigia kura ya hapana katiba pendekezwa,tunakuomba uikememee serikali kwa matangazo yao na wito wao kupitia vyombo mbali mbali kuwataka wananchi waipigie kura ya ndio katiba pendekezwa.kwa kuwa wew ni mpenda haki basi tenda haki.
