Askofu Profesa Victor Chisanga kaambiwa na Mwenyezi Mungu asitii mamlaka kwenye swala na bandari bali ampinge Rais

Askofu Profesa Victor Chisanga kaambiwa na Mwenyezi Mungu asitii mamlaka kwenye swala na bandari bali ampinge Rais

Mambo yanazidi kua ya motoo.


Ukweli ni kwamba, Taifa likiongozwa na Vilaza wajinga, Kila kitu huenda mrama.


Mtaji wa Kiongozi Mjinga, Huwa ni kuamin ana Uwezo wa kutumia Dola kujitetea, na nikweli, Mjinga anaweza kuua ili mradi tu ajione yuko sahihi .


Mjinga Huwa Hana Hekima na busara.
 
Raisi akifa madarakani uchaguzi urudiwe hiki ni kipengele muhimu sana.
 
Wacha tuchochee Moto 🔥🔥🔥... Awamu hii CCM wamekamatwa korodani wanapayuka tu kama mbwa.
 
Back
Top Bottom