johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Anza na mwenyekiti wa Kudumu hapo Ufipa st 🐼Na dhalim naye na ile PhD yake, RIP Ben Saanane.
Shuka Kwa Sugu Moto Chini
Benson
Ndio sababu hampigi hatua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anza na mwenyekiti wa Kudumu hapo Ufipa st 🐼Na dhalim naye na ile PhD yake, RIP Ben Saanane.
👍🎯🤝🙏Kama unabisha angalia Wanasiasa na watumishi wa Umma walioiba Mitihani au kuiba Majina ya wanafunzi Wenzao walipokuwa Primary school au O level
Mzazi unaweza kujiona mjanja Leo kumtumia Mwanao kwa matamanio Yako ya Kisiasa lakini ukumbuke kuwa " hiyo ni mbegu umeshapanda"
Askofu Ruwaich Mungu wa mbinguni akutunze, amen!
Baadaye Mlale Unono 😀
Aliiba mtihani gani au alitumia jina la nani? Wewe huyo una chuki naye tu sijui alikukazia mkeo maana siyo kwa chuki hizo.Anza na mwenyekiti wa Kudumu hapo Ufipa st 🐼
Shuka Kwa Sugu Moto Chini
Benson
Ndio sababu hampigi hatua
Yupi huyo maana wako Watatu 🤣🤣🤣Aliiba mtihani gani au alitumia jina la nani? Wewe huyo una chuki naye tu sijui alikukazia mkeo maana siyo kwa chuki hizo.
Aiseee! Benja wewe ni hatari sana! Anajiita mchumi wa PhD! Wakati huo uchumi wa nchi unaporomoka Kila siku!Kama Mwigulu Nchemba
Ni mchumia tumbo hata siyo mchumiAiseee! Benja wewe ni hatari sana! Anajiita mchumi wa PhD! Wakati huo uchumi wa nchi unaporomoka Kila siku!
Tuwe koloni mara ya pili ndio dawa.Demokrasia imeshindikana 🐼
Only God Knows;
Hakuna binadamu anayejisaidia haja kubwa na ndogo anayeweza kumpeleka huyo askofu mahakamani kwa kauli hiiAskofu Ruwaichi anaweza kuburutwa mahakamani aambiwe alete ushahidi wa hao watoto wa miaka chini ya 18 kuandikishwa
Kihiyo aliiba sijui nini ila ali aibika vibayaUnaweza kutuwekea hapa majina machache ya Wanasiasa waliowahi kuiba mtihani?
Unaweza kutuwekea hapa majina machache ya Wanasiasa waliowahi kuiba mtihani?
😆😆😆😆😆January Makamba alishiriki wizi wa Mitihani Galanos na kufutiwa matokeo
Mimi nimesoma na JM pale Galanos sec Tanga mwanzoni wa miaka ya tisini. Huyu bwana matokeo yake ya form four yalifutwa baada ya kugundulika aliiba paper. Baada ya hapo baba yake akamfanyia mpango kwenye shule nyingine nadhani Forest. Wezi wa paper ndio leo wanashika nchi unategemea nini? Kama JM...www.jamiiforums.com
Mbona husemi na ushahidi ukiwekwa nini kitokee.Askofu Ruwaichi anaweza kuburutwa mahakamani aambiwe alete ushahidi wa hao watoto wa miaka chini ya 18 kuandikishwa
This is serious!January Mkamba, Daudi Albert Bashite aka Paul Christian Makonda, Saidi Bagaile aka Khamis Kigwangwala, Lameck Madelu aka Mwigulu Nchemba, list ni ndefu sana muda mchache.
Huyu dalili zote zinaonyesha wazi kabisa kuwa ni mmoja wa hao.sema kizimkazi, sema wazi wazi, acha porojo kijana
Kwani kuna ugumu gani wa kuupata huo ushahidi?Askofu Ruwaichi anaweza kuburutwa mahakamani aambiwe alete ushahidi wa hao watoto wa miaka chini ya 18 kuandikishwa
Ugumu upo sana tu. Nani atampa huo ushahidi? Ataupata toka kwa nani endapo ataambiwa athibitishe?Kwani kuna ugumu gani wa kuupata huo ushahidi?