Kwani si madaftari yapo au? Watoto walioandikishwa hawapo?Ugumu upo sana tu. Nani atampa huo ushahidi? Ataupata toka kwa nani endapo ataambiwa athibitishe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani si madaftari yapo au? Watoto walioandikishwa hawapo?Ugumu upo sana tu. Nani atampa huo ushahidi? Ataupata toka kwa nani endapo ataambiwa athibitishe?
Nani anayo hayo madaftari?Kwani si madaftari yapo au? Watoto walioandikishwa hawapo?
Mkuu, hili nalo kweli linaweza kuwa jambo la kupotezea muda kulijadili?Nani anayo hayo madaftari?
Umeanza kuelewa. Unakumbuka yaliyompata Askofu Muganyizi enzi ya Magufuli?njia mbadala zisizo za haki zipo nyingi tu za kumshughulikia.
Huyo unayemsakama.24/7.Yupi huyo maana wako Watatu 🤣🤣🤣
Hebu rejea alichosema; na hapa namnukuu: "........taarifa za habari na ilinisikitisha niliposikia kwamba hapa na pale imegundulika kwamba kuna mbinu za kuwaandikisha watoto ambao hawajafikisha umri wa kupiga kura, kitendo kama hicho ni kitendo cha hatari sana........"Askofu Ruwaichi anaweza kuburutwa mahakamani aambiwe alete ushahidi wa hao watoto wa miaka chini ya 18 kuandikishwa
Hakuna mtu wa kumpeleka Ruwaichi mahakamani wala wa kumpigia kelele.Askofu Ruwaichi anaweza kuburutwa mahakamani aambiwe alete ushahidi wa hao watoto wa miaka chini ya 18 kuandikishwa
Nilielewa toka mwanzo, kwani njia ya mahakama siyo rafiki kwao; watakuwa wanajidhalilisha wenyewe hata kama hawawezi kuruhusu ushahidi upelekwe mahakamani. Mahakama ya umma itajuwa kinacho fanyika.Umeanza kuelewa. Unakumbuka yaliyompata Askofu Muganyizi enzi ya Magufuli?
Pongezi kubwa kwa kusimama upande wa haki.Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam, Askofu Jude Thaddeus Ruwa'ichi kupitia mahojiano aliyofanya na Tumaini TV amesema:
"Uchaguzi wa serikali za mitaa ni zoezi la kiraia, ni fursa ya kidemokrasia, lakini zoezi hilo ni lazima litekelezwe kwa uadilifu, kwa uzalendo na kwa uaminifu, ni Sala yetu kwamba kama zoezi la kupata viongozi wa serikali za mitaa raia wenye haki ya kupiga kura wapate fursa ya kupiga kura halali, nasema kura halali kwa sababu ilishatokea yakaweko manung'uniko kwamba umefanyika uchaguzi lakini waliochaguliwa hawakuchaguliwa kwa kura halali, hilo halitaifaa nchi yetu, jamii yetu katika maendeleo na halitasaidia katika maendeleo."
"Ili tuendelee kama raia wa Tanzania tunahitaji kufanya mambo kwa namna ambayo ni ya haki, uadilifu, safi na ni sahihi, nilipokuwa Roma (Italia) nilikuwa nafuatilia taarifa za habari na ilinisikitisha niliposikia kwamba hapa na pale imegundulika kwamba kuna mbinu za kuwaandikisha watoto ambao hawajafikisha umri wa kupiga kura, kitendo kama hicho ni kitendo cha hatari sana kwa sababu ni kuwafundisha watoto kuwa wezi, ni kuwafundisha watoto kuwa waongo, ni kuwafundisha watoto kuwa wahuni, sasa tukilea watoto wetu kuwa waongo, kuwa wezi, kuwa wahuni, maana yake tunatia mbegu ya mahangaiko yetu wenyewe, tupende kufanya vitu kwa usahihi na ukweli na namna hiyo ya kufanya vitu itujenge."
Kukomesha wizi huo tubadilishe mfumo wa kupiga kura. Badala ya makaratasi wapiga kura wasimame nyuma ya mgombea wanayemtaka badala ya makaratasi kwa kuwa hata TAKUKURU licha ya lawama zinazotolewa wamekaa kimya kana kwamba hakuna kinachotokea. Au na wao wanasubiri wapelekewe majina au wanapaswa kuchunguza na kubaini ukweli kisha kuchukua hatua stahiki?Hahaha, CCM hawana namna, mimi nasubiri siku ya kupiga kura tuwaone hao watoto wakiwa kwenye mstari kwenda kupiga kura. Au CCM watapiga kura kwa niaba ya watoto?
Hahaha, CCM hawana namna, mimi nasubiri siku ya kupiga kura tuwaone hao watoto wakiwa kwenye mstari kwenda kupiga kura. Au CCM watapiga kura kwa niaba ya watoto?
SubhanAllah!🙏😎Kama Mwigulu Nchemba
Astaghifilullah!Aiseee! Benja wewe ni hatari sana! Anajiita mchumi wa PhD! Wakati huo uchumi wa nchi unaporomoka Kila siku!
Ukija ukasoma maoni ya wanafalsafa wakongwr kama Plato unagundua kwamba Democracy sio mfumo mzuri wa uongozi, sababu tu ya risk ya wajinga kuwa wengi na kuamua kwenye demokrasia ya wengi wape! Wajinga Hawa sasa Ndio wanaoenda kuchagua Rais ambaye anajiona Mungu mtu na kujiongezea Kinga dhidi ya mashtaka na wanaomzunguka!Demokrasia imeshindikana 🐼
haiwezi tokeaAskofu Ruwaichi anaweza kuburutwa mahakamani aambiwe alete ushahidi wa hao watoto wa miaka chini ya 18 kuandikishwa
Hivi huyu askofu alistahili kweli kuwa askofu wa jiji kubwa na lenye ushawishi kama Dar kweli. Mbona ni zero brain na hana ushawishi kabisa. Hata homilia zake mi huwa nataka kanisani mana huwa ziko shallow. Hatakuja kutokea kama Pengo yule bwana alikuwa akiongea mpaka serikali inatetemeka. Sasa kadinali tuliyechaguliwa mdo kilaza haswaa. Siju rugambwa au nani kwnza hata kuongea hajuiAskofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam, Askofu Jude Thaddeus Ruwa'ichi kupitia mahojiano aliyofanya na Tumaini TV amesema:
"Uchaguzi wa serikali za mitaa ni zoezi la kiraia, ni fursa ya kidemokrasia, lakini zoezi hilo ni lazima litekelezwe kwa uadilifu, kwa uzalendo na kwa uaminifu, ni Sala yetu kwamba kama zoezi la kupata viongozi wa serikali za mitaa raia wenye haki ya kupiga kura wapate fursa ya kupiga kura halali, nasema kura halali kwa sababu ilishatokea yakaweko manung'uniko kwamba umefanyika uchaguzi lakini waliochaguliwa hawakuchaguliwa kwa kura halali, hilo halitaifaa nchi yetu, jamii yetu katika maendeleo na halitasaidia katika maendeleo."
"Ili tuendelee kama raia wa Tanzania tunahitaji kufanya mambo kwa namna ambayo ni ya haki, uadilifu, safi na ni sahihi, nilipokuwa Roma (Italia) nilikuwa nafuatilia taarifa za habari na ilinisikitisha niliposikia kwamba hapa na pale imegundulika kwamba kuna mbinu za kuwaandikisha watoto ambao hawajafikisha umri wa kupiga kura, kitendo kama hicho ni kitendo cha hatari sana kwa sababu ni kuwafundisha watoto kuwa wezi, ni kuwafundisha watoto kuwa waongo, ni kuwafundisha watoto kuwa wahuni, sasa tukilea watoto wetu kuwa waongo, kuwa wezi, kuwa wahuni, maana yake tunatia mbegu ya mahangaiko yetu wenyewe, tupende kufanya vitu kwa usahihi na ukweli na namna hiyo ya kufanya vitu itujenge."