Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Hamna kaz za kufanya ?Aidha ameongeza kwa kusema "utashi wa Mungu tuwe hai,hao wengine wapiga kelele kina Gwajima achaneni nao"
Chanzo;Mwanahalisi Digital
Nadhani tusubiri Jumapili kwa majibu ya upande wa pili.View attachment 1906542
Hadi mnakaa mnasubiri kumsikia mpuuzi mmoja akibwabwaja uharo wake mbele ya hadhara