Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Hamna kaz za kufanya ?Aidha ameongeza kwa kusema "utashi wa Mungu tuwe hai,hao wengine wapiga kelele kina Gwajima achaneni nao"
Chanzo;Mwanahalisi Digital
Nadhani tusubiri Jumapili kwa majibu ya upande wa pili.View attachment 1906542
Anamuuliza nani? Amelazimishwa kuchanjwa?... Maswali yanayoulizwa na Askofu Gwajima ni ya msingi. Tupate majibu.
Mwisho wa siku Kigwajima kikaenda kumpigia Pengo magoti. If you know you knowAmesahau yaliyomkuta Pengo[emoji3]
Wapi ambapo Dr Ruwaichi ametumia nguvu kubwa ?Cha msingi ni kuwaambia waumini wachukue tahadhari lakini hayo mambo ya kurushiana vijembe sidhani kama ni afya njema, kama Gwajiboy na wafuasi wake wanaamini hawachanji basi awaache tu, kwa nini atumie nguvu kubwa sana ?
Hajatumia nguvu kubwa isipokuwa naona watu wanamuona anapingana na serikali.wamjibu maswali yake nawamuache kama Alivyo.hajatumia nguvu kubwa kumlazimisha mtu ambae si wa kabisa lake asichome..anachodai yeye ni kwamba,yeye na waumini wake hawatochoma..hajamlazimisha mtu.Cha msingi ni kuwaambia waumini wachukue tahadhari lakini hayo mambo ya kurushiana vijembe sidhani kama ni afya njema, kama Gwajiboy na wafuasi wake wanaamini hawachanji basi awaache tu, kwa nini atumie nguvu kubwa sana ?
So tumpuuze Gwaji tumkubali yeye.?
Ruwaichi hana akili ndogo kama huyo gwajima kiasi cha kumpa airtime .. prove me wrong kwakuweka clip yake akimtaja huyo mcheza pornAidha ameongeza kwa kusema "utashi wa Mungu tuwe hai,hao wengine wapiga kelele kina Gwajima achaneni nao"
Chanzo;Mwanahalisi Digital
Nadhani tusubiri Jumapili kwa majibu ya upande wa pili.View attachment 1906542
Nilikuwepo kwenye ibada hakuna sehemu alimtaja gwajima hiko kipeperushi cha uongo alichosisitiza yy ni mapadri kupata chanjo wote na waumini kuchukua tahadhari wote?!Sijui kuhusu video mi nimeitoa kwenye hicho chanzo nilichoweka hapo
Ila gwjima ni mtata jaman😁😁atakuwa ni GeminiNgoja aandae mashambulizi ya kumchana vipande vipande
Hawa wakatoliki mapadre wao kule ujerumani wameanza kufungusha ndoa za mashago na kubariki. Papa kakaa kimya kama hayapo.Aidha ameongeza kwa kusema "utashi wa Mungu tuwe hai,hao wengine wapiga kelele kina Gwajima achaneni nao"
Chanzo;Mwanahalisi Digital
Nadhani tusubiri Jumapili kwa majibu ya upande wa pili.View attachment 1906542
Hujui nafasi ya Mh Askofu Gwajima katika jamii?. Lakini kama Mtanzania ana nafasi yake katika kuuliza yanayomhusu na pia jamii yake.Anamuuliza nani? Amelazimishwa kuchanjwa?
Nilikuwepo kwenye ibada hakuna sehemu alimtaja gwajima hiko kipeperushi cha uongo alichosisitiza yy ni mapadri kupata chanjo wote na waumini kuchukua tahadhari wote?
Kafungue la kwako na baba yakoGwaji fala....mazuzu ndo wanamshadafia. Kanisa gani halielewek mlango upi dirisha lipi na anakusanya malaki kwa mamilion