Pre GE2025 Askofu Shoo afafanua madai ya kuhongwa Tsh. Milioni 150, asema ni mbinu za kumnyamazisha

Pre GE2025 Askofu Shoo afafanua madai ya kuhongwa Tsh. Milioni 150, asema ni mbinu za kumnyamazisha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Askofu tusiichafue KKKT yetu, rudisha hizo pesa zinanuka rushwa kama una shida saana na hela sisi waumini tutakuchangia mara mbili ya hizo.
 
Wakuu,

Baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa Askofu Shoo naye amelamba asali baada ya kupewa gari la 150 Milioni kutoka kwa Rais Samia, hivi karibuni Askofu huyo amejibu mapigo.

Akiwa anazungumza hivi karibu Askofu Shoo amesema kuwa maneno yanayopelekwa dhidi yake ni uongo na kwamba Freeman Mbowe ndiye alikuwa ameomba pesa hizo kutoka kwa Rais Samia kwa ajili ya Usharika wake.

Soma pia: Askofu Shoo afafanua madai ya kuhongwa Tsh. Milioni 150, asema ni mbinu za kumnyamazisha

"Hivi karibuni kumekuwa na maneno mengi ya uongo kwamba mimi nimehongwa Shilingi milioni 150 na gari, ukweli ni kwamba Mhe Mbow, ndiye aliyeomba hizo pesa kwa Rais kuchangia Usharika anaotoka Mhe. Mbowe."

==================================================


 
Mzee ungekaa kimyaa tuuu
Shida asioo ile 150m
Gafla unasema mingine 5
Huko nyuma ukuwahi sema hayo
Wakuu,

Baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa Askofu Shoo naye amelamba asali baada ya kupewa gari la 150 Milioni kutoka kwa Rais Samia, hivi karibuni Askofu huyo amejibu mapigo.

Akiwa anazungumza hivi karibu Askofu Shoo amesema kuwa maneno yanayopelekwa dhidi yake ni uongo na kwamba Freeman Mbowe ndiye alikuwa ameomba pesa hizo kutoka kwa Rais Samia kwa ajili ya Usharika wake.

Soma pia: Askofu Shoo afafanua madai ya kuhongwa Tsh. Milioni 150, asema ni mbinu za kumnyamazisha

"Hivi karibuni kumekuwa na maneno mengi ya uongo kwamba mimi nimehongwa Shilingi milioni 150 na gari, ukweli ni kwamba Mhe Mbow, ndiye aliyeomba hizo pesa kwa Rais kuchangia Usharika anaotoka Mhe. Mbowe."

==================================================


View attachment 3161111
 
Wakuu,

Baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa Askofu Shoo naye amelamba asali baada ya kupewa gari la 150 Milioni kutoka kwa Rais Samia, hivi karibuni Askofu huyo amejibu mapigo.

Akiwa anazungumza hivi karibu Askofu Shoo amesema kuwa maneno yanayopelekwa dhidi yake ni uongo na kwamba Freeman Mbowe ndiye alikuwa ameomba pesa hizo kutoka kwa Rais Samia kwa ajili ya Usharika wake.

Soma pia: Askofu Shoo afafanua madai ya kuhongwa Tsh. Milioni 150, asema ni mbinu za kumnyamazisha

"Hivi karibuni kumekuwa na maneno mengi ya uongo kwamba mimi nimehongwa Shilingi milioni 150 na gari, ukweli ni kwamba Mhe Mbow, ndiye aliyeomba hizo pesa kwa Rais kuchangia Usharika anaotoka Mhe. Mbowe."

==================================================


View attachment 3161111
Sijelewa hawa, Mbowe kaomba pesa za Usharika halafu Dr Shoo kapewa gari, mbona sielewi?
 
Wakuu,

Baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa Askofu Shoo naye amelamba asali baada ya kupewa gari la 150 Milioni kutoka kwa Rais Samia, hivi karibuni Askofu huyo amejibu mapigo.

Akiwa anazungumza hivi karibu Askofu Shoo amesema kuwa maneno yanayopelekwa dhidi yake ni uongo na kwamba Freeman Mbowe ndiye alikuwa ameomba pesa hizo kutoka kwa Rais Samia kwa ajili ya Usharika wake.

Soma pia: Askofu Shoo afafanua madai ya kuhongwa Tsh. Milioni 150, asema ni mbinu za kumnyamazisha

"Hivi karibuni kumekuwa na maneno mengi ya uongo kwamba mimi nimehongwa Shilingi milioni 150 na gari, ukweli ni kwamba Mhe Mbow, ndiye aliyeomba hizo pesa kwa Rais kuchangia Usharika anaotoka Mhe. Mbowe."

==================================================


View attachment 3161111
Kuna nini kati ya Mbowe, Ask Shoo na Samia?
Panapofuka moshi....................!!!!!
 
Kwa hiyo Mbowe ndio kahongwa...Makamu mwenyekiti atakuwa anafura huko ila na yeye... anyway tuyaache hayo🐼
 
rutto kapeleka milion 2 za Kenya
Katoliki

Wakazirudishaaaa

Asbh wakalaan kwenye press marufuku kupokea hela kwa wanasiasa
 
Usharika halikuwa na gari kwa ajili ya Askofu, Mh. Mbowe kwa kuwa ni msharika akaomba gari kwa Samia.. Samia alivyo mtoaji akatoa kutoka moyoni. Dunia ina maajabu mengi sana.
 
rutto kapeleka milion 2 za Kenya
Katoliki

Wakazirudishaaaa

Asbh wakalaan kwenye press marufuku kupokea hela kwa wanasiasa
Hivi Mbowe amewaroga na uchawi gani? halafu kesho msimame kusema Samia mbaya?
 
rutto kapeleka milion 2 za Kenya
Katoliki

Wakazirudishaaaa

Asbh wakalaan kwenye press marufuku kupokea hela kwa wanasiasa

Wamepokeeea mpaka wamechoka. Eti leo ndo wanazikataa.
Na bado watazipokea tu wananzengo wakisahau kadhia hii.
 
Wakuu,


Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kiluther Tanzania (KKKT), Askofu Fredirick Shoo amefunguka kwa mara ya kwanza juu ya taarifa alizoziita potofu kuwa amehongwa Sh150 milioni na Rais Samia Suluhu Hassan, akisema ni taarifa zenye lengo la kuvunja nguvu sauti ya kinabii ya kutetea haki.

Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Askofu Shoo aliyasema hayo mwishoni mwa wiki mjini Moshi katika kongamano la viongozi wa dini kanda ya kaskazini lililohudhuriwa na viongozi kutoka taasisi mbalimbali za dini akiwemo Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Kanisa Katoliki (TEC), Padre Charles Kitima.
Alihongwa arudishe kama yule askofu wa kikatoliki aliyerudisha hela za Ruto. Apewe gari la kifahari na rais ambalo atatumia yeye na familia yake kwa sababu gani?
 
Back
Top Bottom