Askofu Shoo, Wabunge Timotheo Mzava wa Korogwe na Dkt. Pallangyo wa Arumeru wanalichafua kanisa au wanachafuliwa?

Hawa Huwa wanaitwa Slow Learners, taratibu tu atakuelewa.
 
Uko sahihi kabisa.
 
Mkuu kuishi miaka miwili au zaidi ni kigezo pekee? Have they aquired the reputation of being husband and wife!? Na ukumbuke hiyo presumption of marriage is rebuttable.
Hapana, kuishi miaka miwili tu sio kigezo pekee. Mimi nilikuwa najibu hoja yako kwa maana akirudi kusoma kifungu ulichomuelekeza, jibu litakuwa ni kuishi miaka miwili pekee ndio kigezo maana kifungu tajwa hakina maneno mengine zaidi ya aliyoyasema.
 
Sasa bwana Mwanasheria,
Ikatokea huyo Binti akaenda mahakamani bado ndoa itafungwa??
 
Hapa tunachanganya haki mbili
1. Kufunga ndoa kikiristo ni haki ya Bwana Mzava na Haipingiki hata mbinguni
2. Haki ya uzinzi na machumo yake - ni haki ya Mzava na ex wake wagawane kama kuna walichochuma wakati wakinyanduana na uasherati hiyo kama hawakubaliani waende mahakamani sio kanisani. Ndoa kufungwa haizuii madai hayo.
Mzinzi aache ndoa ifungwe aendelee na madai yake.
 
Kiimani huko Sina shida Nako, hiyo ndiyo ni makosa ila ,

Kisheria Binti anahoja , pingamizi lake lisikilizwe.
 
Hata kama hana hoja, kusikilizwa ni haki yake.
[/QUOTE

Hoja anayo maana kazaa na kuishi na jamaa,

Ila usahihi wa hoja hizo unategemea na maamuzi ya wenye mamlaka.
 
Sasa huyo Anna anang'ang'ania nn. Mpuuzi kweli. Mkiambiwa musiishi na wanaume kabla ya ndoa hamueelewi. Unaishia kuzalishwa na basi. Nani anawadanganya kuishi na mtu miaka hata 40 ndo inakufanyeni kuwa wanandoa. Nianze tu kwenda kupinga ndoa wakati cheti sina cha ndoa tulikua tukiishi kama mahawara. Mambo mengine kujidhalilisha tu. Muhimu apate child support tu.
 
Kiimani huko Sina shida Nako, hiyo ndiyo ni makosa ila ,

Kisheria Binti anahoja , pingamizi lake lisikilizwe.
Lisikilizwe wapi ndugu
Kanisani!!?? Huko nimekupa position kuwa sio mke wa ndoa hivyo pingamizi lake halina mashiko.

Kiserikali, afate proper avenue kuomba maintanance ya mtoto ambayo ni haki yake na mwanaye.
 
Basi hapo huyo ex wa bwana mzava yuko totally desperated...sisi wazee wa kula tunda kimasikhara hapo tunashika bega tu na tumaneno tuchache tuchache twa kumkandia bwana mzava [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Washauri wapeleke pingamizi la haki kwa askofu / Mchungaji, wekeni viambatanisho halali.

Wakilazimisha ndoa kuendelea kutangazwa wahini mahakamani.

Hawa wanaume ni vizuri nao wawajibishwe siyo kuja kuwaita singles mother wakati wao ndio sosi.

Ikibidi tafuteni mwanasheria makini alale nao mbele.

Goodmorning my JF.
 
Kama Anna na Mzava waliishi kama mume na mke Kwa zaidi ya miaka miwili, hapo Kuna presumption of marriage.

Anna ana pingamizi halali, asikilizwe.

Hata kama ana pingamizi halali hawezi kulazimisha mapenzi. Nadhani Anna aendelee na maisha yake kwa amani kabisa. Mapenzi ni hiyari hayalazimishwi, bora kuvunja hayo mahusiano ya sasa yasiyo na mdoa kuliko kuja kuteseka ndoani
 
Sasa Kama alitaka kuolewa, ilikuaje akatanguliza mtoto?

Ulaghai and playing victims has been ulaghai wa miaka yote wa gender fulani
 
Lakini lazima tukubali pia kwamba Mzava sasa sio tena yule Mfanyakazi wa Halmashauri, kwahiyo lazima na yeye ale Vitu vya hadhi yake. Anna angemvumilia tu waendelee kulea mtoto lakini amuache apate furaha
Nonsense!!
 
Kama Anna na Mzava waliishi kama mume na mke Kwa zaidi ya miaka miwili, hapo Kuna presumption of marriage.

Anna ana pingamizi halali, asikilizwe.
Ana ndoa ya kiserikali, haitambuliki kidini.
Hivyo ndoa yake kidini itakuwa hii ya sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…