Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Askofu ila lina roho mbaya kama sura lake.Huyu jamaa si Ni mchagga? Sioni jipya toka kwake!!!!
Kabila lake la kazi gani? jibu alichoongea.Huyu jamaa si Ni mchagga? Sioni jipya toka kwake!!!!
Sura yake ya kazi gani? jibu alichoongea, kama hamna bando ya kufungua video semeni tuwachangie.Ni Askofu ila lina roho mbaya kama sura lake.
acha ukabilaHuyu jamaa si Ni mchagga? Sioni jipya toka kwake!!!!
Ukabila upi ?,Mimi nimeuliza swali tu mkuu!!!acha ukabila
Ninakuhakikishia hutakaa umuelewe hata siku moja, ana akili kubwa sana well above your understanding...Huyu jamaa si Ni mchagga? Sioni jipya toka kwake!!!!
Shida ya huyu askofu, wakiguswa watu wake wa karibu ndio hua anaongeaacha ukabila
Hana akili yeyote huyu askofu, ukimfuatilia sana utagundua amejaa ukabila hadi anaboaNinakuhakikishia hutakaa umuelewe hata siku moja, ana akili kubwa sana well above your understanding...
Pale anayetoaga visenti anapoguswa. Ni mtu mwenye double standard sana. Na huwa haziki maskini hata siku moja hanaga muda huo.Shida ya huyu askofu, wakiguswa watu wake wa karibu ndio hua anaongea
Tofauti na hapo hujifanya hajui kinachoendelea.
Mkuu Tec ni wakatoliki huyu ni KKKT kumbe hata huelewi unahukumu tu!hivi huyu hayupo kwenye chama kile cha TEC? Kama yupo wakipewaga mualiko wanaongeaga nini na maRais, au ndo wanaishia kuombea amani tu? Maana sielewagi mtu mwenye kum-face almost Rais atleast mara mbili kwa mwaka anakuja kutulalamikia tena sisi raia wa kawaida
hivi huyu hayupo kwenye chama kile cha TEC? Kama yupo wakipewaga mualiko wanaongeaga nini na maRais, au ndo wanaishia kuombea amani tu? Maana sielewagi mtu mwenye kum-face almost Rais atleast mara mbili kwa mwaka anakuja kutulalamikia tena sisi raia wa kawaida
Huyu jamaa si Ni mchagga? Sioni jipya toka kwake!!!!
Kamanda Askofu Shoo ameamua kuingia kazini baada ya maji ya Gaidi Mbowe kumfika shingoni.
Ni Askofu ila lina roho mbaya kama sura lake.
Nyie akili zenu ni mbovu mmezoea kuonewa na hata hamuoni mpo kwenye shida yoyote pengine kwa sababu mmezaliwa kwenye shida zaidi, kuweni na akili!
Hakika inaumiza, inaskitisha, inatesa na inaudhi sana kwa kile anachotendewa Freeman Aikael Mbowe.I 😢
Tulia wewe desirii...Huyu jamaa si Ni mchagga? Sioni jipya toka kwake!!!!