LGE2024 Askofu Tanga: Siku kabla ya kupiga kura msisahau kuombea Uchaguzi wa mwaka huu kwani ni maandalizi ya uchaguzi wa mwakani

LGE2024 Askofu Tanga: Siku kabla ya kupiga kura msisahau kuombea Uchaguzi wa mwaka huu kwani ni maandalizi ya uchaguzi wa mwakani

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa vitongoji na vijiji unaotarajiwa kufanyika novemba 27 mwaka huu, Askofu Mkuu wa Kanisa Anglikana Tanzania na Dayosisi ya Tanga Maimbo Mndolwa ametoa wito kwa watanzania kuchagua viongozi wakufaa bila kujali itikadi za vyama vya siasa.

Askofu Mkuu Maimbo Tanzania na Tanga amesema uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 ni maandalizi kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2025 hivyo watanzania wanapaswa kushiriki kikamilifu ili kuandaa mazingira bora ya uchaguzi Mkuu.

Soma pia: Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) watoa wito wananchi kushiriki uchaguzi serikali za mitaa

Aidha alitoa wito kwa viongozi wakiwemo wahudumu wa Kanisa Anglikana kushirikiana na Taasisi za dini zote nchini kuelimisha watu kushiriki uchaguzi huo.


 
Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa vitongoji na vijiji unaotarajiwa kufanyika novemba 27 mwaka huu, Askofu Mkuu wa Kanisa Anglikana Tanzania na Dayosisi ya Tanga Maimbo Mndolwa ametoa wito kwa watanzania kuchagua viongozi wakufaa bila kujali itikadi za vyama vya siasa.

Askofu Mkuu Maimbo Tanzania na Tanga amesema uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 ni maandalizi kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2025 hivyo watanzania wanapaswa kushiriki kikamilifu ili kuandaa mazingira bora ya uchaguzi Mkuu.

Soma pia: Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) watoa wito wananchi kushiriki uchaguzi serikali za mitaa

Aidha alitoa wito kwa viongozi wakiwemo wahudumu wa Kanisa Anglikana kushirikiana na Taasisi za dini zote nchini kuelimisha watu kushiriki uchaguzi huo.


View attachment 3160845
Maombi hayajawahi kuleta Mchakato Bora wa Uchaguzi!
 
Parapanda Italia ktk jumba jeupe 2025. Tujiandaye vema.
 
..vipi kuhusu suala la wapinzani kuenguliwa Askofu ana msimamo gani?

..Na tume huru ya uchaguzi itapatikana kabla ya 2025?
 
Angeshauri ufanyike siku moja wote uchaguzi mkuu na ule wa serikali za mitaa. Tuone kama wayaiba
 
Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa vitongoji na vijiji unaotarajiwa kufanyika novemba 27 mwaka huu, Askofu Mkuu wa Kanisa Anglikana Tanzania na Dayosisi ya Tanga Maimbo Mndolwa ametoa wito kwa watanzania kuchagua viongozi wakufaa bila kujali itikadi za vyama vya siasa.

Askofu Mkuu Maimbo Tanzania na Tanga amesema uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 ni maandalizi kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2025 hivyo watanzania wanapaswa kushiriki kikamilifu ili kuandaa mazingira bora ya uchaguzi Mkuu.

Soma pia: Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) watoa wito wananchi kushiriki uchaguzi serikali za mitaa

Aidha alitoa wito kwa viongozi wakiwemo wahudumu wa Kanisa Anglikana kushirikiana na Taasisi za dini zote nchini kuelimisha watu kushiriki uchaguzi huo.


View attachment 3160845
Baraka na Neema za Mungu zitawale katika chaguzi zetu zote zijazo, Aimen :BASED:
 
..vipi kuhusu suala la wapinzani kuenguliwa Askofu ana msimamo gani?

..Na tume huru ya uchaguzi itapatikana kabla ya 2025?
Kuna ujumbe 'embedded' humo humo kwenye taarifa kuhusu maswala hayo. Askofu hakutaka kuwa bayana; vinginevyo, hakuwa na sababu yoyote ya kuzungumzia uchaguzi.
 
Kuna ujumbe 'embedded' humo humo kwenye taarifa kuhusu maswala hayo. Askofu hakutaka kuwa bayana; vinginevyo, hakuwa na sababu yoyote ya kuzungumzia uchaguzi.

..viongozi wa dini wawe more direct kuhusu suala la time huru, na katiba mpya.

..ikiwezekana waingie hata barabarani kushinikiza madai hayo.

..serikali imeonyesha dharau na kiburi cha hali ya juu ktk mabadiliko ya Tume ya uchaguzi yaliyofanyika.
 
..viongozi wa dini wawe more direct kuhusu suala la time huru, na katiba mpya.

..ikiwezekana waingie hata barabarani kushinikiza madai hayo.

..serikali imeonyesha dharau na kiburi cha hali ya juu ktk mabadiliko ya Tume ya uchaguzi yaliyofanyika.
Sasa hivi wanahongwa magari na pesa, tena waziwazi,; hakuna dharau zaidi ya hiyo.

Wale wa Kenya wamekuwa wawazi na Ruto, hapa kwetu bado kuna wanufaika wa hali ilivyo. Mbaya zaidi, wale wa dini upande wa pili ni kama hawaoni ubaya wowote. Hali hiyo inaleta mgawanyiko.
 
Askofu ninkama amepindisha kauli yake. Alikusudia kusema siku moja kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa parapanda Italia, na kuna mwili utazungushwa nchi nzima na kuhitimisha safari yake visiwani.
 
Back
Top Bottom