Aslay amewafunika wote waliotangulia kwenye homa

Aslay amewafunika wote waliotangulia kwenye homa

Dogo ameongoza kwa performance ya muda mrefu bila kukata pumzi, ila hajamuacha mbali harmo.
 
Hichi kipindi kuna kituo mtaa wa pili wamekiiga watu kimya,sasa hapa ndio wangekiiga WASAFI pasinge tosha humu.

Ila Majizo ni very creative na industry ya Bongo anaijua.
Kipindi kizuri, sema nakiona kikipoteza mvuto baada ya miezi kadhaa, kwakuwa wasanii wale cream watakuwa wameisha wataanza kuleta takataka kina Giggy Money

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatoaje taarifa kama vile kila mtu alikuwepo au anajua unaongelea nini? Kaa chini ueleze ni kitu gani hicho, kama ni kipindi cha TV kinahusu nini na kimefanyika station gani.

Vinginevyo kwa uandishi wako usiojitosheleza si rahisi kueleweka. Na ingekuwa insha ningekupa maksi 20 kwa 100 kwa kuwa ujumbe haujakamilika.
 
Haya maoni ni mazuri ila yanakachembe chembe ka u-hater kwa Msela wa Kariakoo[emoji23][emoji23]

Ngoja niingie Utube nami nipate cha kusema. Nitarudi
Aslay kafanya fresh maana yupo vizuri kwa sauti na anaeza kuburudisha watu, hata mix za nyimbo zipo fresh

Nandy alifanya poa sana tofauti hata nilivyomfikiria. nahisu hukumuelewa maana alifanya nyimbo za kusikiliza zaidi..ofcoz she is NANDY

Kiba hata sikueza kuangalia muda mrefu. Ilikuwa boring na zile attitude zake. Plus ana sauti nzuri ila nguvu ya sauti kuimba muda mrefu HANA.

To sum up, Aslay is a better vocalist and peformer kuzidi wote
 
Aslay kafanya fresh maana yupo vizuri kwa sauti na anaeza kuburudisha watu, hata mix za nyimbo zipo fresh

Nandy alifanya poa sana tofauti hata nilivyomfikiria. nahisu hukumuelewa maana alifanya nyimbo za kusikiliza zaidi..ofcoz she is NANDY

Kiba hata sikueza kuangalia muda mrefu. Ilikuwa boring na zile attitude zake. Plus ana sauti nzuri ila nguvu ya sauti kuimba muda mrefu HANA.

To sum up, Aslay is a better vocalist and peformer kuzidi wote

Akienda Barnaba utafuta Kauli yako mkuu..
 
Back
Top Bottom