Aslay ana tatizo gani, mbona simuelewi?

Naanza kumuelewa Vanesaa Mdee wasanii wanapitia makubwa. Ndo maana weengine wanakua mateja
 

Bado anafanya vizuri sana ndugu
 

Mtoa maada ni aslay tu umemwona au ndie unamfahamu

List ya wasanii Tanzania inaanzia dsm mpaka kigoma
 
Anabaniwa tu, we hujui muziki ni vita murA
 
i
Yanga march 8 alitoa wimbo mpaka sasa una kimbiza mtu alipewa cha nguruwe bado kinamuendesha mpaka leo.
Nye bhana na wajinga sana,ni kama kwenye maisha yenu march 8 ndo mliwahi kushinda,mnafunguwa na droo kila siku ,tunaelekea mwezi wa 7 mnakosa ubingwa na kuperfom vizuri kwa ajili ya ujinga kama huo,utopolo mmekuwa wajinga sana,hamtafuti mafanikio mechi ya tar 8 ni kama mmechukua kombe,baada ya kifocus kwenye mechi zijazo mnafocus kwenye march 8,na azam conf mtaikosa hivi hivi
 
hahahahaha potelea mbali sisi mechi tulimaliza tar. 8 machi sa ivi tuko kwenye mabonanza tu

ila kumpiga nyau kuna raha yake yaani unatamba mwaka mzima
 
hahahahaha potelea mbali sisi mechi tulimaliza tar. 8 machi sa ivi tuko kwenye mabonanza tu

ila kumpiga nyau kuna raha yake yaani unatamba mwaka mzima
Kauli za wakosaji
 
Kauli za wakosaji
unasema vp Yanga kakosa wakati ki rekodi anakuzidi kila kitu ww umemzidi kuwa na washabiki ma mbumbumbu.

vp lakini ule msumari wa march 8
 
Hizo kali ndo zip kweli? [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Aisee we shemeji goti nipe samaki akijua wengine tatu halafu Tanga rivasi Jumatano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…