ASLAY awe makini na hii COMBINATION kati yake na NANDY

ASLAY awe makini na hii COMBINATION kati yake na NANDY

Naunga mkono hoja yako umewaza mbali sana ...aslay kipaji chake kinatosha kabisa kujitangaza na hasa kujiwekes msingi mzuri nyumbani (hapa tz) mengine ni suala la mda
Kweli kabisa
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Wamezunguka naye kwenye jiwe la mwezi mara mbili kabla hata ya fiesta... alifanyiwa interview kwenye kipindi cha leo tena alipotoa ngoma angekuona...
Kati ya wote aslay ndiye anapewa support zaidi hata beka flavour hajapata support kama ya aslay
?
mkuu mbona ile stori humalizii
 
Habari za ijumaa wakuu

Moja kwa moja niende kwenye mada kama kichwa kinavyojieleza hapo juu

Kumekuwa na promo nyingi sana kumhusu aslay na nandy , kutoa nyimbo mbalimbali pamoja, kufanya shoo pamoja, kuingia mikataba mbalimbali pamoja ikiwemo mikataba ya kuitangaza tatu mzuka. Lakini pia kurudia baadhi ya nyimbo za askay pamoja.

Sasa jamani mimi naona hiki kitu ni kizuri ila hakitafika mbali na kitamuacha aslay pabaya. Watu wengi wanaompenda aslay na kumsapoti kwenye ngoma zake alizokuwa anazifululiza mwanzo nadhani kwa sasa wanasita kumsapoti kwa hii kiki mpya anayopewa na hawa CLOUDS ambao wote mnawatambua vizuri sina haja ya kuelezea hapa.

Jamani mimi nachoona ni kwamba siku si nyingi aslay atafyonzwa kama mua na hatakuwa na utamu tena na watantupilia mbali.

Ushauri wangu kwa kijana aslay ni aendelee na ule utaratibu wake wa mwanzo na aachane kabisa na hawa watu wa sasa

Ni hayo tu nawasilisha
wanga hamjifichi

Kama kipindupindu vile
 
Back
Top Bottom