ASLAY awe makini na hii COMBINATION kati yake na NANDY

Naunga mkono hoja yako umewaza mbali sana ...aslay kipaji chake kinatosha kabisa kujitangaza na hasa kujiwekes msingi mzuri nyumbani (hapa tz) mengine ni suala la mda
Kweli kabisa
 
Reactions: Lee
Wamezunguka naye kwenye jiwe la mwezi mara mbili kabla hata ya fiesta... alifanyiwa interview kwenye kipindi cha leo tena alipotoa ngoma angekuona...
Kati ya wote aslay ndiye anapewa support zaidi hata beka flavour hajapata support kama ya aslay
?
mkuu mbona ile stori humalizii
 
wanga hamjifichi

Kama kipindupindu vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…