Kweli leo umeamua kufurahisha jukwaa!Nani kakwambia kunuka kunazidiana HV mnajijua mlivo kero mnavonuka hasa hasa vikwapa ?? Msijitie hamnazo
Kwanin usitetee hoja mpaka unaenda kujificha kwenye kivuli cha mama, shangazi na Dada?Pole sana ila umewsikilizishia mamaako na dadaako au unasikiliza mwenyewe tu...
Sent from my A500s using JamiiForums mobile app
My dear wimbo sijausikia lakini pia mimi usinifananishe na hao so called waoga blah blah, nina mke home na anajitambua hahahahaha.Nyie ndo mnaogopa mkikemea huu upuuzi wa wanaume kuwadhalilisha ndo mtaambiwa nyie ndo walengwa .. Sikia nikwambie mwanaume huyu sio mwenzio atakusifia ukiwa nae mkiachana anakung'ong'a . nawashangaa wanawake mliofurahia huu wimbo
Words... eti kudhalilishwa mbona aliyeimba dume suruali hawajaandamana kua amewadhalilisha maana ukisikia mashairi ya FA hahaha.Tatizo lako unataka tutetee hoja na tuwe upande wako hilo ndio tatizo lako kubwa..mtu anatoa comments kutokana na uhalisia na uelewa wake! Kukosolewa ni sehemu ya kujifunza na kujirekebisha.
Usitumie gender kama inferiority complex Mara hamna mashangazi, Dada au wamama! Ni sawa na kutafuta ugomvi wa mawe halafu unakimbilia kwenye nyumba ya vioo, Obviously utaonekana umeonewa.
Maneno mengine sio makali, unaposema nguo ya ndani inakuwa too general coz zipo nyingi so mtu anaposema chupi anakuwa specific and clear na wala sio neno kali. Samahani lknMleta mada ana hoja.Kuwepo na adabu kwenye matumizi maneno.Kuna matumizi ya maneno kupunguza makali mfano nguo za ndani.BASATA ndiyo wa kulaumu.Wasanii wasituharibie maadili waje kwa fasihi pia.Kuna mmoja kaimba kwa ustadi mkubwa kupeleka ujumbe sehemu kama sikosei."Kama sura hata mbuzi anayo lakini wo wo woo..'!
Duuh kumbe ndo unafanyaga hivo mkuu sasa unataka uone kwa mwanamke itakuaje ..aisee bongoland ina mambo
Inategemea na malezi ya mtu na MTU.Tunatofautiana malezi na makuzi.Issue hapa wimbo unaenda hewani public,kuna watoto wadogo.Mfano utakuwa umeshasikia matumizi ya maneno haya..tendo la ndoa,kujamiiana nk au naenda uwani,naenda kujisaidia,alimshika sehemu za siri,nimeenda hospitali nikaambiwa nipeleke choo/stool kikapimwe,nk.Hiyo mifano michache ina maneno yake halisi lakini aghalabu hukwepwa kutajwa moja moja kwa mantiki hiyo ya kimaadiliManeno mengine sio makali, unaposema nguo ya ndani inakuwa too general coz zipo nyingi so mtu anaposema chupi anakuwa specific and clear na wala sio neno kali. Samahani lkn
Huu wimbo kwanza hakuna kituo cha radio kinaweza ruhusu kupigwa kwa huu wimbo maana umejaa matusi na udhalilishaji.....hii ndio jf kila mtu ni msafi,hanuki.This is what we call a gentleman, hongera mkuu kwa kulitambua hilo naamini unajielewa ndo maana umeona makosa aliyoyafanya aslay kwa yeyote anayesupport huu wimbo hajielewi hasa mwanamke akisaport akapimwe akili
Jambo la kushangaza sana mkuu!Words... eti kudhalilishwa mbona aliyeimba dume suruali hawajaandamana kua amewadhalilisha maana ukisikia mashairi ya FA hahaha.
haya na huyo aliyesema NAMPA PAPA tena wanakata na viuno kabisa hawajasema kawadhalilisha, aliyeimba WOWOWO mbona flat screen hawaja andamana kawadhalilisha.
lol, ifike muda sasa hii jinsi ya kike isijinyongeshe kama walemavu wakati ni binaadam kamili.
[emoji15] [emoji15] I thought you're a ladyMy dear wimbo sijausikia lakini pia mimi usinifananishe na hao so called waoga blah blah, nina mke home na anajitambua hahahahaha.
Mkuu mm nimeshakuelewa huyo unaebishana nae ndo walewale wakina aslay so utaumiza kichwaInategemea na malezi ya mtu na MTU.Tunatofautiana malezi na makuzi.Issue hapa wimbo unaenda hewani public,kuna watoto wadogo.Mfano utakuwa umeshasikia matumizi ya maneno haya..tendo la ndoa,kujamiiana nk au naenda uwani,naenda kujisaidia,alimshika sehemu za siri,nimeenda hospitali nikaambiwa nipeleke choo/stool kikapimwe,nk.Hiyo mifano michache ina maneno yake halisi lakini aghalabu hukwepwa kutajwa moja moja kwa mantiki hiyo ya kimaadili
Sent from my itel it1508 using JamiiForums mobile app
ALIVYOIMBA UNANISUMBUA NA KIBAMIA CHAKO MBONA HAMJALALAMIKA!! MKUKI KWA NGURUWE INAELEKEA SIFA ZOTE UNAZO NINI!!Habari za mchana wana Jf ,
Mimi binafsi ni shabiki mkubwa wa nyimbo za dogo aslay ukweli ni kwamba dogo anajitahidi ila kilonifanya niandike hii thread kuna wimbo wa Aslay umetoka sijui kautoa mwenyewe au umevuja au vipi maana wimbo wenyewe una verse moja tu lakini mashairi ya wimbo huo hayajawafurahisha wanawake wengi ikiwemo Mimi.
Ni wimbo ambao unamdhalilisha mwanamke huyu dogo anapaswa atambue kwamba mashabiki wa mziki wake wengi ni wanawake hata kama umeachana na mwanamke huwezi kumtolea matusi kama ya kwenye wimbo wa aslay so aslay kama umo humu Jf acha kudhalilisha wanawake ambao ndo mashabiki zako wakubwa including Ray 4 real.
Baadhi ya mashairi katika huo wimbo;[emoji116]
Kiuno kizito kama engine ya fuso ,
Hauna lolote kitandani yaani upopo,
Unashindwa hata kufua vichupi vyako,
Unanuka jasho makwapani kama choo cha soko..
Hayo ni baadhi ya mashairi kwa kweli hayajatufurahisha wanawake na ni udhalilishaji
So aslay if u are also in Jf na ukasoma hii thread ujue umetudisappoint 90% ya wanawake Tz.
Yangu ni hayo sema nimeshindwa kuapload hiyo audio.
Huu ni udhalilishaji mkubwa sana na hakuna kitu kama hicho ktk maadili yetu ya kitanzania yaan cjui hii Tz ya viwanda inaelekea wapi,Huu wimbo kwanza hakuna kituo cha radio kinaweza ruhusu kupigwa kwa huu wimbo maana umejaa matusi na udhalilishaji.....hii ndio jf kila mtu ni msafi,hanuki.
Ukweli ni kwamba huu wimbo ni mbovu na hakuna anaye weza kuupa support hasa kwenye vituo vya radio....
Kibamia ni kiswahili gani?? Je basata wanatambua hilo neno kibamia?? Huyo anajua kutumia fasihi ndo maana wimbo ulichukuliwa kawaida..ALIVYOIMBA UNANISUMBUA NA KIBAMIA CHAKO MBONA HAMJALALAMIKA!! MKUKI KWA NGURUWE INAELEKEA SIFA ZOTE UNAZO NINI!!
NYIMBO ZIPO KUFUNDISHA VILEVILE! CHUKUA UJUMBE FANYIA KAZI! MANENO YA KIKUNGWI HAYO!Kibamia ni kiswahili gani?? Je basata wanatambua hilo neno kibamia?? Huyo anajua kutumia fasihi ndo maana wimbo ulichukuliwa kawaida..
Sent from my A500s using JamiiForums mobile app
Hahahaha i am tho.
Ila tuache masikhara, Aslay kazingua but don worry huo wimbo hauwezi kupigwa radioni itakua tu alijifurahisha na kufurahisha wahuni wenzake.... kua na aman mmama.
True bro, siku zote ukijiheshimu nawe utaheshimiwa sasa kwa mambo wanayoyafanya hao wanawake mashuhuri na wasio mashuhuri unaona kabisa ni mtihani.....Jambo la kushangaza sana mkuu!
Yaani wanaji undermine wao wenyewe kutokana na mambo wanayoyafanya halafu wanakuja na kasumba kuwa wanafanyiwa gender discrimination wakati wao hawataki kujirespects, nyimbo Kama Papa gigy money, sijui chura ni baadhi ya nyimbo zilizoimbwa na wanawake ukiangalia ndani yake zinawatoa utu kama wanawake..lakini ndio wanazipenda kupita maelezo,,
Kutaka 50/50 inatakiwa wawe na self Respect's kwanza.