Aslay hizi sasa sifa zimezidi kipimo

Aslay hizi sasa sifa zimezidi kipimo

Habari za mchana wana Jf , mm binafsi ni shabiki mkubwa wa nyimbo za dogo aslay ukweli ni kwamba dogo anajitahidi . Ila kilonifanya niandike hii thread kuna wimbo wa aslay umetoka sijui kautoa mwenyewe au umevuja au VP maana wimbo wenyewe una verse moja tu lkn mashairi ya wimbo huo hayajawafurahisha wanawake wengi ikiwemo Mimi .
Ni wimbo ambao unamdhalilisha mwanamke huyu do go anapaswa atambue kwamba mashabiki wa mziki wake wengi ni wanawake .hata kama umeachana na mwanamke huwez kumtolea matusi kama ya kwenye wimbo wa aslay . so aslay kama umo humu Jf acha kudhalilisha wanawake ambao ndo mashabiki zako wakubwa including Ray 4 real.
Baadhi ya mashairi katika huo wimbo;[emoji116]

Kiuno kizito kama engine ya fuso ,
Hauna lolote kitandani yaani upopo,
Unashindwa hata kufua vichupi vyako,
Unanuka jasho makwapani kama choo cha soko..

Hayo ni baadhi ya mashairi kwa kweli hayajatufurahisha wanawake na ni udhalilishaji
So aslay if u are also in Jf na ukasoma hii thread ujue umetudsappoint 90% ya wanawake Tz. Yangu ni hayo sema nimeshindwa kuapload hiyo audio.
Acha afunguke kijana

Kama uko namna hiyo Pole.
Ukweli una uma.
 
Habari za mchana wana Jf , mm binafsi ni shabiki mkubwa wa nyimbo za dogo aslay ukweli ni kwamba dogo anajitahidi . Ila kilonifanya niandike hii thread kuna wimbo wa aslay umetoka sijui kautoa mwenyewe au umevuja au VP maana wimbo wenyewe una verse moja tu lkn mashairi ya wimbo huo hayajawafurahisha wanawake wengi ikiwemo Mimi .
Ni wimbo ambao unamdhalilisha mwanamke huyu do go anapaswa atambue kwamba mashabiki wa mziki wake wengi ni wanawake .hata kama umeachana na mwanamke huwez kumtolea matusi kama ya kwenye wimbo wa aslay . so aslay kama umo humu Jf acha kudhalilisha wanawake ambao ndo mashabiki zako wakubwa including Ray 4 real.
Baadhi ya mashairi katika huo wimbo;[emoji116]

Kiuno kizito kama engine ya fuso ,
Hauna lolote kitandani yaani upopo,
Unashindwa hata kufua vichupi vyako,
Unanuka jasho makwapani kama choo cha soko..

Hayo ni baadhi ya mashairi kwa kweli hayajatufurahisha wanawake na ni udhalilishaji
So aslay if u are also in Jf na ukasoma hii thread ujue umetudsappoint 90% ya wanawake Tz. Yangu ni hayo sema nimeshindwa kuapload hiyo audio.

Oga, fua nguo zako za ndani... kwani ina kuchukua muda gani? Mpaka huyu dogo akuimbie ndio ushituke "eee hivi kumbe tu chupi huwa tuchafu?" Ame sahau kuongeza shairi hapo " na pasi uzipige nguo zako za ndani".
 
Hahahaa....
Hii dunia hii...
Mkuu usihofu, huyo jamaa bado ni mtoto ndio maana. Kama angekuwa mtu mzima na kweli wameachana na mwenzake basi wangeyamaliza wao wenyewe... Hahahaaaa
Huu ni utoto wa kiwango cha lami HV ingekuwa watu wanaachana wanasemana mambo ya ndani kusingekalika
 
Acha afunguke kijana

Kama uko namna hiyo Pole.
Ukweli una uma.
Nyie mnamshauri ujinga huyo dogo mbona nyie mnanuka makwapa kama chemba za choo, miboxer hamfui, mipmb inatoa harufu kama vyoo vya solo lkn watu wanawavumilia
 
Oga, fua nguo zako za ndani... kwani ina kuchukua muda gani? Mpaka huyu dogo akuimbie ndio ushituke "eee hivi kumbe tu chupi huwa tuchafu?" Ame sahau kuongeza shairi hapo " na pasi uzipige nguo zako za ndani".
Na nyie jisigueni hayo makwapa yenu yana tema na mapmb muyaoshe yanatema na boxer ukivaa Mara moja ufue
 
Wewe ni 90% ya wanawake?

ubadilike, huo ndio ukweli wanawake mko hivyo
HV mnajijua kwamba mna makwapa yenu yanatema harufu kama mzoga wa panya ?? Basi na nyie badilikeni ni wachafu kupita kiasi boxer inavaliwa Siku 2+
 
Nao wanaume nao sometimes hua wanauz jmn kila mtu ana kasoro zake no one is perfect, always mnapokua na demu huwaga hamuzioni kasoro zake ngoja sasa muachane uuuuuuw ni shida!

Na sisi wanawake ifikie kipind tubadilike ili wanaume wakose cha kukosoa, mm sitaki kuamini kua uchafu ni kasoro hapana hii ni tabia ambayo inabadilishika jmn, mm naamini tukiamua tunaweza
 
[emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23]huwa mnatusema hatufui boxer kuimbwa kidogo tu mnaanzisha Uzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jitahidi kuwa msafi basi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Ni kweli maboxer yananuka maana yanavaliwa Mara 1+ kwann lisinuke na jasho lote la dar?? Makwapa ndo kabisa unakuta mengine hata deodorant hayajui ..mnafurahia aslay kumuaibisha mwanamke wakati nyie mmeoz kabisa.. Vyumba vina siri nzito
 
Sasa si bora aslay anajiimbia zake, je wale wanawaweka wanawake nusu uchi kwny video zao hawawadharirishi wanawake? Je wale wanaopost picha za utupu hawawadharirishi wanawake? Mwacheni dogo aimbe bana, kama una tabia hzo jirekebishe ndo dawa
 
Back
Top Bottom