Akili za kimaskini hizoSiwezi kufa njaa wakati nina cha kuuza.
Kweli mkuu Kama walikubaliana wakae nazo Kama znapelea watafte na waoSasa mbona Walizipokeaa????? Matahiraa sana haoo.. Baada ya kuona wimbo umekuwa Hit song wanaanza ubashitee waoo
Hapa wanataka kutokea mtu ukifanya makosa tayari dealkwani wanataka sh. ngapi?
tuanzie hapo kwanza.
Una shingapNaumwa niombeeni
Ruge nae hata hachelewiHaya Mke Wa Ruge kamwingiza mkenge mwenzie, maaan Aslay anajua kuimba na kutunga , na Nandi kazid hata za Ray C anaziiimbaga jukwaani
Akili za kimaskini hizo
Mbona hawana ghali kabisa? Walifikiri kitu kama mia tisa hivi....pengine ingependeza zaidikwani wanataka sh. ngapi?
tuanzie hapo kwanza.
Ubongo mdogo wafabyaje???Mie huwa najiwazia kwani ni lazima kurudia wimbo wa mtu ambao ulishaimbwa sababu mwisho wa siku ndio hizi seke seke zinatokea.
Yetu macho na masikio wacha tuone mwisho ni nini.
mia tisa na hamsini itapendeza zaidi.Mbona hawana ghali kabisa? Walifikiri kitu kama mia tisa hivi....pengine ingependeza zaidi
Weka hamsini iwe kamilimia tisa na hamsini itapendeza zaidi.
Kwahiyo umeona we peke ako ndo unajuwa maana ya opportunity cost si wengine hadi tukaaze kusoma.Opportunity Cost.
Go and read what it means.
Kwahiyo umeona we peke ako ndo unajuwa maana ya opportunity cost si wengine hadi tukaaze kusoma.
Ni cost gani gani wange incur km wasingeruhusu wimbo wao kurudiwa?
haina haja ya kosota kuujua... kwani wewe haujui kuwa wimbo ni wanani? hizo nyimbo za mataifa mengine, kosota wana zijua?Cosota wanaujua?
Hahaaa. Cha kufanya wajikune mikono inapoishia. Sababu kulazimisha shida ndio hiyo sasa.Ubongo mdogo wafabyaje???
Wanakera sana! Etiiii...
Siyo HAKI MILIKI?
Wametoa nyimbo nyingi mpaka idea zimewashiaMie huwa najiwazia kwani ni lazima kurudia wimbo wa mtu ambao ulishaimbwa sababu mwisho wa siku ndio hizi seke seke zinatokea.
Yetu macho na masikio wacha tuone mwisho ni nini.
Chamtu ni chamtu tu istoshe muziki unaishi milele na wao wangeendelea kufanya yao kwani lazima kucopyMuziki wa mwaka 1973 unataka fidia wakati ulikuwa umesha expiry
Nadhanii waliwapaa mpaka pesa..Na jamaa wakakubalii maana kiukweli nyimbo zao zishapitwa na wakati na hata shoo kupitia hizo nyimbo hawampati mtu.. Semaa tamaa imewajaa baada ya kuona imekuwa Hit kalii sana