Katika kuonyesha gemu ya Bongo Fleva inashika mizizi wasanii Aslay na Nandy siku ya leo wamevuta mkataba mnono wa takribani milioni 700 na kampuni ya kuchezesha bahati nasibu ya Tatu Mzuka. Mkataba huo ni kwa ajili ya kuwa mabalozi wa kampuni hiyo ya michezo ya kubahatisha.
Daaaaaah kubashiri kuna Pesa sana.!
Daaaaaah kubashiri kuna Pesa sana.!