Aslay ni alikiba , harmonize ni diamond

Aslay ni alikiba , harmonize ni diamond

Barcelona763

Member
Joined
Mar 9, 2018
Posts
26
Reaction score
21
Hawo wasanii aslay na harmonize ndio watakae chukua nafasi ya alikiba na Diamond . Alikiba aliwahi kusema hili kuhusu aslay ‘Tamba Mdogo Wangu Unajua’ huku akiambatanisha na kava ya wimbo huo wa Aslay ‘Natamba”. Kila Mara nikisikiza harmonize ni kama anaimba mtindo was diamond.
 
Back
Top Bottom