ASP, TANU,CCM Ni Vyama vya watu wa Pwani. Bara mlikaribishwa. Jifunzeni historia na Kuheshimu waanzilishi

ASP, TANU,CCM Ni Vyama vya watu wa Pwani. Bara mlikaribishwa. Jifunzeni historia na Kuheshimu waanzilishi

Una hoja.
Na una Matusi.
Kama chama chenu fukuzen wabara au tujitenge , tena ninyi Wapwan ndo mnaturudisha nyuma kimaendeleo Kwanza wavivu, pili mnataka kula vya bure wapuuzi ninyi , Nendeni huko na little chama lenu kila mpwani akikamata nchi inayumba Nendeni huko mahayawani nyie
 
Na ukisema wenyewe ni wa mikoa ya Pwani moja kwa moja hapo ni Muslim society.
inamaana chama kimerudi kwa wajukuu wa kina Ally sykes,mzee Said Chaurembo,Mwinyijuma Mwinyikambi,Dosa Aziz na wezee wengine wa pwani.
Hapana,
Ukristo pia uliingilia Pwani ndo ukaja bara. Ndo maana pwani tunaishi vizuri na watu wa dini zote na wasio na dini. Uislam, Ukristo, Siasa, Uchumi, etc vyote vimetokea Pwani.
 
Mohamed Said anaijua kwa kiasi kikubwa historia ya Tanzania hasa ya vyama vya TAA na TANU ila historia yake huwa ina matobo mengi sana.
 
"Wazee wetu wa DSM walitukanwa na kijana wenu RC. Na kundi lake, walidhalilisha familia zetu, familia zilizowapokea, kuwalea na kuwatunza".

Mhh njaa za CCM mbaya, kwani si ni Kikwete aliye mtuma Makonda kwenda Kumpiga Mzee walioba na baadae aka mpandisha cheo kuwa mkuu wa wilaya, au mimi sikumbuki vizuri? CCM bhana sisi tuna wajua kwa unafiki, maendeleo yamewatoa jasho mme ng'ang'ana na chama kila siku, hii karne nani ana hitaji lichama? , tuna hitaji uwezo wa mtu binafsi katika vyama utumike kutuletea maendeleo, miaka 60 tuko na nyie CCM kila siku kelele, hata kutoa ajira kwa vijana hamuwezi, kusimamia elimu bora hamuwezi, viwanda hamuwezi, mna nuka rushwa na kujifariji kuwa mna rudisha chama kwa wenyewe, hata just ku update GDP ya taifa hamuwezi mnasubiri IMF iwafanyie kazi, mnachoweza ni kukusanyika Dodoma kufarijiana umasikini, kweli wahenga walisema ''WINGI WA NZI NI KUTOBOA KIDONDA''.
 
Sawa basi tusiwane kanda ya ziwa mkileta matako yenu...waombeni kura watu wa pwani hope zitatosha...bure wa head wewe.

#MaendeleoHayanaChama
 
Asalam,
Nimeona maongezi kadhaa kwenye media, mengine ya kupongeza, mengine ya kuponda, mengine yasiyoyojua historia, mengine matusi, mengine ya udini na ukabila.

Hayo yote ni kufuatia Mabadiliko na harakati za CCM kujitengeneza UPYA baada ya kupitia kipindi kigumu sana kati ya 2015 hadi 2021.

Mabadiliko ya Jana ya Mzee Abdrahaman ni ukamilifu tu wa kukirudisha Chama kwenye mikono salama, ya wanaojua kilikotoka, kiendako katika kuijenga Tanzania.

Mengi ya kihistoria yaliandikwa hapa na wengi, lakini nimtaje mmoja ambae kwa kweli amejitahidi sana kuiweka historia mahali pake. Huyu si mwingine bali ni Mzee wetu Mohamed Said.

Mwalimu Nyerere alikaribishwa kama wengine tu mlivyo karibishwa. Pwani ndio kitovu cha Siasa za nchi hii. Na nikiitaja pwani ni Tanga, Pwani, Dsm, lindi, Mtwara na Zanzibar.


Sasa basi malalamiko ya Wabara wengi yanakosa msingi wa kihistoria, kimantiki na yaliyojaa upotoshaji. Madhila mliyotufanyia hii miaka mi5 hayatatoka mioyoni mwetu. Hatuyasemi lakn tumejifunza.

Wazee wetu wa DSM walitukanwa na kijana wenu RC. Na kundi lake, walidhalilisha familia zetu, familia zilizowapokea, kuwalea na kuwatunza.

Kama hayo hayatoshi mkamtukana JK na Familia yake na kumtusi ya nguoni. Waliokijenga Chama wakawa wageni.

Natamani kuwaambia na nyie tafuteni chenu lakini nashindwa kusema hayo.

Karibuni tujenge nchi lakini wafunzeni wanenu kuheshimiana, Kuheshimu wazee, wazazi na waliowatangulia kwenye utumishi wa nchi hii.
Kuna ukweli fulani.
 
Ahsante kwa taarifa, sisi sote ni wa moja...
 
Back
Top Bottom