Asprin, teamo & the finest .... Katika kuadhimisha kifo cha mwl. Nyerere

hakuzimika mtu kweli kwa stail hiyo?
 
Mi nshamaliza maungamo yote....hebu cheki na kaizer labda...au teamo...au asprin.....

Hivi mwanasheria wenu ni nani? nina mpango wa kuishitaki Club yenu

walikuwa wanatafuta speed ya kulia, ukizingatia maneno ya Mwl Nyerere kwenye mkutano wa NEC 1995 DDM
aliposema ikiwa ccm itamsimamisha mgombea mbovu ni dhahiri kuwa rais wa tanzania atatoka nje ya ccm

Inaonekana walikuwa na uchungu sana
 
PM hairusiwi kwenye ID hii, siko hapa kutafuta urafiki niko kikazi zaidi ,0ctober /31/2010....Trace my IP Address for mo Infor!
MGANYIZI
...
huu ni ushamba huu......
 
Duu kweli leo ni Gud Friday !!!!! ... Ni mwendelezooo tuuu !!!
 
Wakutafute wapi Smiles....
Ukizingatia hii status yako😛osted via Mobile....

Roya...walio makini walisha nitafuta!
Wewe sijui ulikuwa wapi...? Au ulikuwa hujaelewa 'and the company' inamaanisha nini...?:confused2:
 
eeh bwana ndio.........................!
hapo lazima kuna aliyeangusha gari................!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…