Asprin, teamo & the finest .... Katika kuadhimisha kifo cha mwl. Nyerere

Asprin, teamo & the finest .... Katika kuadhimisha kifo cha mwl. Nyerere

Divai haifai kuzimulia.....nataka nikuongezee stoku....

Stoku ninayo ya kutosha, tena imeshabarikiwa...

HIVI NYIE NDUNGU MPAKA SASA Ni WAZIMA AMA MNAPUMUA KWA OXGEN?
hii sio kawaida utadhani nyama choma zimetandazwa mezani kumbe ulabu

Mama wa Kwanza, hawa jamaa ni sugu

Nyie wanywa mapombe makali, muwe mnakula MAFUTA MAFUTA mengi wakati mnakunywa hizo pombe kali.

Mnaonyesha mfano mbaya kwa watoto wangu...................

Eh, Sikonge... Watoto wako wanakunywa Valuu??

tumpelekee pipa mbili......za chupa tutaingia hasara, za box hawezi kunywa, zipo diluted sana!

Stoku tunayo ya kutosha B...

Askofu bwana eti alitaka valuuu iwe diluted na divai kupunguza ukali ndio anywe

Ikawaje?
 
ukifanya hivyo unatakiwa uwe na watu kama Asprin na Fidel na Roy na Finest a.k.a Ballantines

Finest anatumia Ballantine, haaa ameshakuwa best yangu, mie hayo ma beer yenu nayanywaga kwa hamu tu..
 
Mgambo ndiyo wawindaji wenyewe, hahahahaaaa.....

Kwani ni akina nani wenye bunduki? Ila huruhusiwi kuwabeba Tabora mjini.

Ngoja na sisi tufaidi kidogo maana Waarabu watauwa wanyama wote na kuwaacha KIA na sisi tubaki tunajilaumu kwa kutokula hata kipande kimoja.
Mkuu, mnakula nyara za serikali hapo, wagambo pori wakiwakamata itakuwa shughuli!
 


Hiyo bia moja alikuwa anakunywa The Finest alafu hapo hapo anataka ale mchemsho dah!!!
 
Finest anatumia Ballantine, haaa ameshakuwa best yangu, mie hayo ma beer yenu nayanywaga kwa hamu tu..

Sasa umenikumbusha niende Mohans mapema kabisa ni place order yangu, hivi chupa mbili zinatutosha au hazitaleta msisimko
 
Sasa umenikumbusha niende Mohans mapema kabisa ni place order yangu, hivi chupa mbili zinatutosha au hazitaleta msisimko


jamani, mccmko na wkend c ndio mambo yenyewe, au bado mdogo wewe?
 
Finest anatumia Ballantine, haaa ameshakuwa best yangu, mie hayo ma beer yenu nayanywaga kwa hamu tu..
Mi mwenyewe nakunywaga bia kwa hamu tu, infact nikisikia kiu......otherwise nakanyaga moto.
Finest hapo ndo umempata kabisaaa!
 
Finest anatumia Ballantine, haaa ameshakuwa best yangu, mie hayo ma beer yenu nayanywaga kwa hamu tu..

Sasa umenikumbusha niende Mohans mapema kabisa ni place order yangu, hivi chupa mbili zinatutosha au hazitaleta msisimko

Ulisali kweli jana wewe?? Kanisani walisemaje? au ndo uliiba sadaka ukachikichia kwenye Ballantines
 


Hiyo bia moja alikuwa anakunywa The Finest alafu hapo hapo anataka ale mchemsho dah!!!

Hiyo chupa ya kilimanjaro ilikuwa ni kwa ajili ya kuwekea dawa ya mbu si unajua zile staili za bar
 
Back
Top Bottom