:clock:sasa hivi lazima kichwa cha Asprin kiwe kinafanya kama hii makitu hapa!
Hiyo afadhali mkuu....kuna hii :A S-confused1:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
:clock:sasa hivi lazima kichwa cha Asprin kiwe kinafanya kama hii makitu hapa!
hahahaaa! mkuu, halafu mtu akikupigia filimbi masikioni lazima upoteze network then upate kizunguzungu!!Hiyo afadhali mkuu....kuna hii :A S-confused1:
:clock:sasa hivi lazima kichwa cha Asprin kiwe kinafanya kama hii makitu hapa!
Hiyo afadhali mkuu....kuna hii :A S-confused1:
hahahaaa! mkuu, halafu mtu akikupigia filimbi masikioni lazima upoteze network then upate kizunguzungu!!
Sasa kuna raha gani kufakamia hiyo kitu kama mateso ni mengi hivyo?
Askofu, umelisoma hili!! hiyo ndo raha yenyewe........lakini pia unapata sababu ya kunywa supu na kuzimua kesho yake!Raha si ndo huo mlio wa kengele kwenye medula?
Askofu, umelisoma hili!! hiyo ndo raha yenyewe........lakini pia unapata sababu ya kunywa supu na kuzimua kesho yake!
mkuu watu hawaamini glass za bar, unakamata uhai ya baridi, then unaomba kisu jikoni unakata nusu inakuwa glass special!
lakini hizo konyagi na valuu hapo lazima upate temporary brain damage!
Endelea kutaja wengine...
Sometyms safari za kwenda huko zinaweza kuwa nyingi, so wanatafuta njia mbadala
Kwa msaada wa konyagi na valuu...sio watu wa marekani!Na afya inajengeka...
kumbe ni wewe nikuona unanena kwa lugha? hivi ulikuwa :A S-confused1: au uzalendo wako wa kulipa kodi?Askofu unanionea bure tu mimi unanibambikizia dhambi jana nililia sana kwenye maombolezo ya baba wa taifa
kumbe ni wewe nikuona unanena kwa lugha? hivi ulikuwa :A S-confused1: au uzalendo wako wa kulipa kodi?
Hivi leo ni Jumapili ya ngapi ya Mwaka B?
Raha si ndo huo mlio wa kengele kwenye medula?
Askofu, umelisoma hili!! hiyo ndo raha yenyewe........lakini pia unapata sababu ya kunywa supu na kuzimua kesho yake!
Na afya inajengeka...
Nakumbuka jana tulikutana kanisani mimi, TEAMO na ASPRIN kwa ajili ya kufanya maombezi
Jana nilikuwa kanisani hivi mnazungumzia nina hapa maana :A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1:
Askofu unanionea bure tu mimi unanibambikizia dhambi jana nililia sana kwenye maombolezo ya baba wa taifa
Kwa msaada wa konyagi na valuu...sio watu wa marekani!
kumbe ni wewe nikuona unanena kwa lugha? hivi ulikuwa :A S-confused1: au uzalendo wako wa kulipa kodi?
Hivi leo ni Jumapili ya ngapi ya Mwaka B?
Jumapili ya 29 si unakumbuka ile Injili iliyosomwa
dah!.............
hili ni pigo la mwaka
Kukemea mafisadi ambao baba wa taifa alikuwa anawachukia hata kanisa linajua jinsi gani jana nilivyojitoa siku nzima kwenye maombi