Asprin, teamo & the finest .... Katika kuadhimisha kifo cha mwl. Nyerere

Asprin, teamo & the finest .... Katika kuadhimisha kifo cha mwl. Nyerere

Kunywa valeur kwa wingi..........Ni dawa ya kuua minyoo!!:A S 103::A S 103::A S 103:
 
Askofu hebu nikumbushe ule wimbo wa katikati tuliomba imba jana baada ya maombi na ule wakati tunaenda kutoa sadaka
 
Kunywa valeur kwa wingi..........Ni dawa ya kuua minyoo!!:A S 103::A S 103::A S 103:

:mmph:... Inaonekana minyoo yako ni sugu, haifi... kila siku unawanywea valuu lakini wapi...

Askofu hebu nikumbushe ule wimbo wa katikati tuliomba imba jana baada ya maombi na ule wakati tunaenda kutoa sadaka

Hukuja kanisani kwangu ndugu, inaonekana hii kitu ulianza juzi ndo maana hata netiweki za jana hazijulikani kama zilikuwa TTCL, Tigo, Voda, Zain, Zantel au Ungo...
 
All desirable things in life are illegal, banned and expensive or married to someone else!

Kwa mfano bange is desirable but illegal!! aaaggrrrr!
 
HIVI NYIE NDUNGU MPAKA SASA Ni WAZIMA AMA MNAPUMUA KWA OXGEN?
attachment.php
hii sio kawaida utadhani nyama choma zimetandazwa mezani kumbe ulabu
 
Huruhusiwi asilani....hivi huoni hii siginecha takatifu? The Finest hapendi...
^^^^^Bia moja supu ya nini?^^^^^


Unajenga.....hivi stoku yako ya mvinyo ikoje?

Unataka kuzimulia Divai?:nono::nono::nono:
 
Huruhusiwi asilani....hivi huoni hii siginecha takatifu? The Finest hapendi...
^^^^^Bia moja supu ya nini?^^^^^






Unajenga.....hivi stoku yako ya mvinyo ikoje?

Askofu anahitaji kufanyiwa postmortem ya mwili wake tuone mwili wake una uwezo wa kuingiza vimiminika lita ngapi
 
Kunywa valeur kwa wingi..........Ni dawa ya kuua minyoo!!:A S 103::A S 103::A S 103:
sio minyoo tu mkuu! ni dawa mbu pia, mbu hakatizi kwa body yenye valuer hata siku moja.......malaria free!
 
HIVI NYIE NDUNGU MPAKA SASA NO WAZIMA AMA MNAPUMUA KWA OXGEN?
attachment.php
hii sio kawaida utadhani nyama choma zimetandazwa mezani kumbe ulabu
hii makitu ni kawaida kila nafasi inapopatikana bana!
 
Nyie wanywa mapombe makali, muwe mnakula MAFUTA MAFUTA mengi wakati mnakunywa hizo pombe kali.

Huku Sikonge huwa tunakula sana Nyama Pori wakati tunapata Gongo na Wanzuki.

Sasa makamuzi yoote hayo na mezani hamna hata kisahani kimoja?

Mnaonyesha mfano mbaya kwa watoto wangu...................
 
HIVI NYIE NDUNGU MPAKA SASA NO WAZIMA AMA MNAPUMUA KWA OXGEN?
attachment.php
hii sio kawaida utadhani nyama choma zimetandazwa mezani kumbe ulabu

FL1 siye wazima leo mimi, asprin na teamo tumehudhuria misa ya mapema kabisa ya saa 12 asubuhi, hizo chupa tulizkuta tuu maana meza zilikuwa zimejaa sasa tukawa tunasubiri muhudumu aje kusafisha ila waliondoka kwenye hiyo meza ndio waliacha hizo chupa
 
Askofu anahitaji kufanyiwa postmortem ya mwili wake tuone mwili wake una uwezo wa kuingiza vimiminika lita ngapi
tumpelekee pipa mbili......za chupa tutaingia hasara, za box hawezi kunywa, zipo diluted sana!
 
Nyie wanywa mapombe makali, muwe mnakula MAFUTA MAFUTA mengi wakati mnakunywa hizo pombe kali.

Huku Sikonge huwa tunakula sana Nyama Pori wakati tunapata Gongo na Wanzuki.

Sasa makamuzi yoote hayo na mezani hamna hata kisahani kimoja?

Mnaonyesha mfano mbaya kwa watoto wangu...................
Mkuu, mnakula nyara za serikali hapo, wagambo pori wakiwakamata itakuwa shughuli!
 
Askofu anahitaji kufanyiwa postmortem ya mwili wake tuone mwili wake una uwezo wa kuingiza vimiminika lita ngapi

Roya ndo anahitaji postmotamu au wewe?

sio minyoo tu mkuu! ni dawa mbu pia, mbu hakatizi kwa body yenye valuer hata siku moja.......malaria free!

Ha ha haaa... hii kali, ndo kwanza naisikia leo!! Washauri watengeneza dawa za Mbu au watengeneza perfume watumie Valuuu
 
mkuu watu hawaamini glass za bar, unakamata uhai ya baridi, then unaomba kisu jikoni unakata nusu inakuwa glass special!

lakini hizo konyagi na valuu hapo lazima upate temporary brain damage!

heee mbinu mpya, thnx! mie naishiaga kunywa na chupa tu, kila pafu ka lipshiner kamefutika unaweka kengine kadomo kackauke, kumbe kuna njia mbadala...lol...lakini imekaa kidume dume sana, yaani mie na kikopo cha uhai?..haahaaaa...
 
Askofu bwana eti alitaka valuuu iwe diluted na divai kupunguza ukali ndio anywe
hahahaaa! mkuu hiyo makitu unaweza kunywa stock yote ya bar........jaribu nyagi mix with mvinyo mweupe....weeeee!!!
 
heee mbinu mpya, thnx! mie naishiaga kunywa na chupa tu, kila pafu ka lipshiner kamefutika unaweka kengine kadomo kackauke, kumbe kuna njia mbadala...lol...lakini imekaa kidume dume sana, yaani mie na kikopo cha uhai?..haahaaaa...
ukifanya hivyo unatakiwa uwe na watu kama Asprin na Fidel na Roy na Finest a.k.a Ballantines
 
Back
Top Bottom