Asprin, teamo & the finest .... Katika kuadhimisha kifo cha mwl. Nyerere

Asprin, teamo & the finest .... Katika kuadhimisha kifo cha mwl. Nyerere

Ila a serious note....kwenye mkao kama huu usiende na :car:...can be fatal!

Vikao kama hivi ndo huwa naona umuhimu wa tuktuk ukipigwa upepo upo speed 120 na helmet umekabidhi kaunta dah ukifika karibu na home a.k.a sebuleni inabidi ubust tena kadhaa.
 
Sasa...mkishaamka (i.e Asprin, The Finest, Teamo and the company) mnitafute maana nina assignment kwenu... Sawa? Good!
 
Sasa...mkishaamka (i.e Asprin, The Finest, Teamo and the company) mnitafute maana nina assignment kwenu... Sawa? Good!

Wakutafute wapi Smiles....
Ukizingatia hii status yako😛osted via Mobile....
 
Unaweka rivasi toka gongo la mboto hadi bunju.....

Unaweza kupitiliza hadi bagamoyo, halafu unasema umerogwa...

Hahahaha alienda kuchakachua duh

Si ndio nashangaa uchakachuaji wake...

Sasa...mkishaamka (i.e Asprin, The Finest, Teamo and the company) mnitafute maana nina assignment kwenu... Sawa? Good!

Wafanyie canselling hawa...

Wakutafute wapi Smiles....
Ukizingatia hii status yako😛osted via Mobile....

Ina maana hana location maalum...:confused2:
 
Kwahiyo ndio mmekonkludi nini sasa? Tuache malumbano, tumchague Slaa kwa maendeleo ya michezo!
 
Ina maana hana location maalum...:confused2:

Location maalum nina hakika anayo.....ni kiasi cha kupataja tu....ila angealika mmoja mmoja...:dance::dance:
 
Kwahiyo ndio mmekonkludi nini sasa? Tuache malumbano, tumchague Slaa kwa maendeleo ya michezo!

Michezo ya kupanga chupa tupu za valuu na konyagi mezani au michezo gani?
 
Michezo ya kupanga chupa tupu za valuu na konyagi mezani au michezo gani?
Trarrrrrrrraaa chachachachachahhhhhhhhhhh alaji! alaji! alaji.....gudududududududududdu!:doh::doh::doh:
 
Location maalum nina hakika anayo.....ni kiasi cha kupataja tu....ila angealika mmoja mmoja...:dance::dance:

Alishawaambia HADANGANYIKI....

Sista Gabriella anaijua muulize atakwambia

Aliondoka na St. Roya jana, sijamuona leo

Trarrrrrrrraaa chachachachachahhhhhhhhhhh alaji! alaji! alaji.....gudududududududududdu!:doh::doh::doh:

Kuna nafasi ya Kazi Canadian Embassy... wanatafuta muimbaji na mcheza mziki mzuri... apply... Mshahara wao ni Red Apple
 
Back
Top Bottom