Askofu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2009
- 1,664
- 87
- Thread starter
- #61
Divai haifai kuzimulia.....nataka nikuongezee stoku....
Stoku ninayo ya kutosha, tena imeshabarikiwa...
HIVI NYIE NDUNGU MPAKA SASA Ni WAZIMA AMA MNAPUMUA KWA OXGEN?
hii sio kawaida utadhani nyama choma zimetandazwa mezani kumbe ulabu
Mama wa Kwanza, hawa jamaa ni sugu
Nyie wanywa mapombe makali, muwe mnakula MAFUTA MAFUTA mengi wakati mnakunywa hizo pombe kali.
Mnaonyesha mfano mbaya kwa watoto wangu...................
Eh, Sikonge... Watoto wako wanakunywa Valuu??
tumpelekee pipa mbili......za chupa tutaingia hasara, za box hawezi kunywa, zipo diluted sana!
Stoku tunayo ya kutosha B...
Askofu bwana eti alitaka valuuu iwe diluted na divai kupunguza ukali ndio anywe
Ikawaje?