Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakumbuka tulikuwa kwenye kharusi moja ya ndugu yetu, nilikuwa na mabinti wengine pamoja na mdogo wangu mmoja mtoto wa mamkubwa, yule binti ni mrembo hasa alishawahi shiriki mashindano ya urembo pia.!!
Bwana kharusi akili yote ikamtoka akawa anamshangaa yule binti mpaka anapoteza concentration, unamuona kabisa huyu anajizuia lakini anashindwa, na upande tumekaa ni rahisi kuonana, wakati wa kula ndo kabisa hamtazami mkewe aliyevaa shela hapo pembeni, ni vimacho havitulii.!! aiseeh' ilibidi tufanye utaratibu tu tuondoke maana mambo yalikuwa tayari magumu,
Wanaume, walaqhi mtavunja ndoa zenu siku ya kharusi..!! [emoji23] [emoji23]
Mimi niliwekwa sehemu maalum nikawa nafurahia na bi harusi, wengine wakawa wanasherehekea sehemu nyingine. Kwa hiyo sikupata tabuHahah...mzee baba kwako halikukusumbua hili?
Sambokile sambamba hapo vipi inabamba au tuchane msamba?
This is true. Mwanaume hata awe mzee lakini lazima ataangalia haya maua. Hata uoe miss ambaye anavigezo vyote lakini suala la kutamani liko pale pale. Hata awe baba mchungaji. So hilo wala halikuwa tatizoUkweli ni kwamba wanaume hawawezi kuacha kutazama uumbaji wa Mungu, hili wanawake wanapaswa kulitambua...
Kupenda kwa mwanaume huanza kwa kutamani halafu baadaye ndio upendo...
Kwa nini anatamani kwanza, jibu ni kuwa kwa sababu kaumbiwa kuwinda na kila awindaye hutafuta kwanza mawindo yaliyonona kabla ya kufyatua silaha
Kwa niaba ya wana chaputa wote,tunakutakia kila la kheri mkuuHahahahaaaa.
Nimepata pa kujisevia muda wowote niutakavyo, sitaki kujipa stress bana
Mkuu acha kuassume wakati tayari imeshamtokea mwanaume mwenzetu.Unaweza kuomba namba za simu, after honeymoon ukaanza kudeal na mmoja baada ya mwingineView attachment 1269142
Sweetilee , viatu vyetu ni challenging sana, tunajitahidi sana kupambana na nature ili kuwafurahisha ninyi.Nakumbuka tulikuwa kwenye kharusi moja ya ndugu yetu, nilikuwa na mabinti wengine pamoja na mdogo wangu mmoja mtoto wa mamkubwa, yule binti ni mrembo hasa alishawahi shiriki mashindano ya urembo pia.!!
Bwana kharusi akili yote ikamtoka akawa anamshangaa yule binti mpaka anapoteza concentration, unamuona kabisa huyu anajizuia lakini anashindwa, na upande tumekaa ni rahisi kuonana, wakati wa kula ndo kabisa hamtazami mkewe aliyevaa shela hapo pembeni, ni vimacho havitulii.!! aiseeh' ilibidi tufanye utaratibu tu tuondoke maana mambo yalikuwa tayari magumu,
Wanaume, walaqhi mtavunja ndoa zenu siku ya kharusi..!! [emoji23] [emoji23]
Naomba kujua sababu kama hutojali mkuu.!!SweetieleeSweetilee , viatu vyetu ni challenging sana, tunajitahidi sana kupambana na nature ili kuwafurahisha ninyi.
Amini: mwanaume mwaminifu 100% kwenye ndoa yake,,, huyo hana furaha na hiyo ndoa.
ha ha ha mkuu zinatofautiana,kuna nyingine unatamani muda wote uwe unaigonga tuK ni ile ile, alisikika mlevi mmoja huku akiongeza mbege kwenye chibuku
Well saidKama unaongozwa na tamaa za Mwili, hata ukipewa na hao wote, Lazima kesho tena utataman mwengine barabaran
Aliyeitenganisha Tanganyika na Rwanda alifanya makosa makubwa sanaUnaweza kuomba namba za simu, after honeymoon ukaanza kudeal na mmoja baada ya mwingineView attachment 1269142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ha ha ha mkuu zinatofautiana,kuna nyingine unatamani muda wote uwe unaigonga tu
Mwanamke unayejua staha huwezi vaa hivi kwenye mwaliko wa harusi ,, kinguo cha kuendea jolly pub hicho cha kupewa bia za ofa llaaaa alikuwa na visa na bibi harusi
Wanaume hamjui rangi [emoji23][emoji23][emoji23]hyo ni purple sio blueHilo mashine lenye gauni la blue la kibabe sana,hapo unalipiga deo kwa ile staili ya uhuru kenyata.[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23] sasa hapo utakuwa makini na rangi kweli?...mwanzo nilitaka kuandika nyekundu[emoji85][emoji85], toto hiloooo[emoji23][emoji23][emoji12][emoji12]Wanaume hamjui rangi [emoji23][emoji23][emoji23]hyo ni purple sio blue