Aston Villa vs Leicester City Liveupdate.

Aston Villa vs Leicester City Liveupdate.

Six Man

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2017
Posts
253
Reaction score
892
Leo nd'o leo.

Macho ya watanzania wengi wapenda michezo yataelekezwa katika jiji la Birmingham. Katika uwanja wa Villa Park unaomilikiwa na klabu ya Aston villa kutakuwa na mtanange wa nusu fainali ya pili kati ya Aston villa na Leicester city.

Katika mechi ya kwanza timu hizi zilitoka sare ya moja kwa moja. Hivyo mchezo wa leo ni muhimu sana kwakuwa mshindi atapata tiketi ya kucheza fainali.

Macho ya watanzania wapenda soka yatakuwa kwa kijana wao, nahodha wa timu ya taifa, Mbwana Ally Samatta.

Samatta anakuwa mchezaji wa kwanza mtanzania kucheza katika timu iliyopo katika ligi kuu ya uingereza.

Uzi huu ni maalum kwa ajili ya update za mechi hiyo kuanzia mwanzo hadi mwisho.

Kama upo mbali ya runinga kaa hapa, utapata kila kitu kuhusu mechi hiyo.

Karibuni sana.

Naitwa Six Man.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo nd'o leo.

Macho ya watanzania wengi wapenda michezo yataelekezwa katika jiji la Birmingham. Katika uwanja wa Villa Park unaomilikiwa na klabu ya Aston villa kutakuwa na mtanange wa nusu fainali ya pili kati ya Aston villa na Leicester city.

Katika mechi ya kwanza timu hizi zilitoka sare ya moja kwa moja. Hivyo mchezo wa leo ni muhimu sana kwakuwa mshindi atapata tiketi ya kucheza fainali.

Macho ya watanzania wapenda soka yatakuwa kwa kijana wao, nahodha wa timu ya taifa, Mbwana Ally Samatta.

Samatta anakuwa mchezaji wa kwanza mtanzania kucheza katika timu iliyopo katika ligi kuu ya uingereza.

Uzi huu ni maalum kwa ajili ya update za mechi hiyo kuanzia mwanzo hadi mwisho.

Kama upo mbali ya runinga kaa hapa, utapata kila kitu kuhusu mechi hiyo.

Karibuni sana.

Naitwa Six Man.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siti ya mbele kabisa V I P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samatta..
FB_IMG_15802339834050645.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwny hiyo mechi ntakua namuangalia beki wa kati fundi sana Caglar Soyuncu

Kwny midfield kuna fundi mmoja anaitwa Wilfred Ndidi bonge la defensive midfielder.

Af kwny winga kuna mtu mmoja fundi sana dunia haitak kumtambua,anaitwa Ayoze Perez, ana umatemate mwingi sana

Tusipangiane furaha tafadhal, kila mtu aangalie kinachomfurahisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na nd'o raha ya soka..haiwezekani wote tukawa timu moja..
Kwny hiyo mechi ntakua namuangalia beki wa kati fundi sana Caglar Soyuncu

Kwny midfield kuna fundi mmoja anaitwa Wilfred Ndidi bonge la defensive midfielder.

Af kwny winga kuna mtu mmoja fundi sana dunia haitak kumtambua,anaitwa Ayoze Perez, ana umatemate mwingi sana

Tusipangiane furaha tafadhal, kila mtu aangalie kinachomfurahisha.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwny hiyo mechi ntakua namuangalia beki wa kati fundi sana Caglar Soyuncu

Kwny midfield kuna fundi mmoja anaitwa Wilfred Ndidi bonge la defensive midfielder.

Af kwny winga kuna mtu mmoja fundi sana dunia haitak kumtambua,anaitwa Ayoze Perez, ana umatemate mwingi sana

Tusipangiane furaha tafadhal, kila mtu aangalie kinachomfurahisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemsahau MADISON
 
Back
Top Bottom