Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ni baada ya kuichapa Derby count kwa mabao 2-1 katika mchezo mkali wa fainali ya Play off
Mabao ya El Ghazi dk 44 na lile la Mac Ginn dk ya 59 yalitosha kuifanya Villa ikamilishe timu tatu zilizopanda daraja msimu huu , bao la kufutia machozi la Derby lilifungwa na Wagorn dk 81
Kila la heri Aston Villa
Mabao ya El Ghazi dk 44 na lile la Mac Ginn dk ya 59 yalitosha kuifanya Villa ikamilishe timu tatu zilizopanda daraja msimu huu , bao la kufutia machozi la Derby lilifungwa na Wagorn dk 81
Kila la heri Aston Villa