Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
- #141
Updates?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujaiacha kuota? Rironi May summit will be the longest dual carriageway in East Africa at 180km.Updates?
Update is that Dodoma Ring road won't be built in your lifetime, so just chill your balls and wait for your death.Updates?
Bado uamin 😅😅 kama inajengwa sasa mngojee dar mono rail mbona mtatiii tuuHujaiacha kuota? Rironi May summit will be the longest dual carriageway in East Africa at 180km.
SERIKALI ya Tanzania imezindua rasimu ya mradi wa ujenzi wa barabara ya mzunguko wa nje yenye urefu wa kilomita 112 kwa kiwango cha lami yenye thamani ya Sh bilioni 494 lengo ikiwa ni kupunguza msongamano wa magari katika jiji hilo. Mradi huo ambao ujenzi wake utakamilika katika kipindi cha miezi 36 na itajengwa umbali wa takribani kilomita 15 kutoka kati kati ya jiji la Dodoma.
CC: Teargass Nicxie mwaswast Zigi Rizla sevenup Depay komora096 pingli-nywee Matrixx
kaulize mwendazake kaburini ila kwa taarifa yako rais wa AfDB yuko Bongo kushuhudia uzinduzi baada ya AfDB kutoa fedha!
Taarifa ninazo kabla yako na twitter ipo jf jukwaa la Kenya since alivyokutana na VP Addis ..kaulize mwendazake kaburini ila kwa taarifa yako rais wa AfGB yuko Bongo kushuhudia uzinduzi!
nakujibu kaulize mwendazake! Mimi sina upuuzi wa kumsifia...Taarifa ninazo kabla yako na twitter ipo jf jukwaa la Kenya since alivyokutana na VP Addis ..
Hujanijibu swali,walizindua nini na Sasa wanazindua nini?
Update: Nairobi-Nakuru-Mau Summit road won't be built after all!Ficha upumbavu Nairobi-Nakuru-Mau Summit highway is to be launched in 2021 👇
Kenya to launch Sh1 trillion PPP projects by June 2021
While Nairobi outer ring road is nowhere 99km! can u plse stop stupid arguments!
SERIKALI ya Tanzania imezindua rasimu ya mradi wa ujenzi wa barabara ya mzunguko wa nje yenye urefu wa kilomita 112 kwa kiwango cha lami yenye thamani ya Sh bilioni 494 lengo ikiwa ni kupunguza msongamano wa magari katika jiji hilo. Mradi huo ambao ujenzi wake utakamilika katika kipindi cha miezi 36 na itajengwa umbali wa takribani kilomita 15 kutoka kati kati ya jiji la Dodoma.
CC: Teargass Nicxie mwaswast Zigi Rizla sevenup Depay komora096 pingli-nywee Matrixx
You write funny English [emoji16]She speaks English funny.
Sisi tunazungimzia barabara ya kwenye Mji Dodoma City lete ya Nairobi yenye urefu huo tuone achana na barabara za kuunganisha counties hizo hata sisi huku tz tunazijenga dar dodoma 500 dual carriageway and chalinze Moshi 500km dual carriageway loading hatutakuwa na mpinzani katika hilo hata Arusha holili sijazungumzia over 100kmHujaiacha kuota? Rironi May summit will be the longest dual carriageway in East Africa at 180km.
alikuwa slow!Huyu mtu nilikuwa namkubali sana kazi zake, Kama Mbarawa. Sijui kilitokea nini hata sielewi
Nashukuru sna kwa taarifa, sikuwahi kulijua hilo!alikuwa slow!