Mlatino Zeshalo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,130
- 3,599
Not all Muslim are terrorist but all terrorist are Muslim. Explain with vivid examples.
Nakupa home work hiyo
Maybe ni better ili kuligawa lile taifaCivil war in Afghanistan is inevitable now!
Sad.
Huo ndio uislam pure.Of cause ni Waislamu wenzenu kwa sababu ni Waislamu. Lakini wanachokifanya siyo kitendo cha Uislamu bali kitendo kinachokinzani na mafundisho ya Kiislamu...AMANI na UPENDO.
Unaleta mambo ya karne za kumi, uliwasikia wapi wanavurumishana mabomu ya kuuana hivi kama hawa wenzako?Wrong, all terrorists are no Muslims. There are Christian terrorists too! Ever heard of CRUSADE.. that was Christian terrorism. Ever heard Ultra rightist, white nation etc in USA, that is christian terrorism.
We jamaa mwenye sura mbaya yaani nimecheka kwa hii katuni na hayo maandishi 😄😄😂😂
Kwa nini mnapenda uchochezi usiyo na msingi?wanakupenda kwa makafiri,
Dunia haipungukiwi na maajabu!Huo ndio uislam pure.
Mmarekani ni toto tundu anayevuruga au kuaribu vitu alafu yeye mwenyewe ndio anajua kuviresemble, tusibiri wakiombwa warudi kuweka mambo sawa. Time will tell!!!
Huu mchezo aliyoucheza kaukosea sana!Mmarekani ni toto tundu anayevuruga au kuaribu vitu alafu yeye mwenyewe ndio anajua kuviresemble, tusibiri wakiombwa warudi kuweka mambo sawa. Time will tell!!!
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Sheikh unazungumziaje wale raia wamepanda ndege na kutaka wende kwny nchi za hao uwaitao nguruwe kwann wasbaki kwao ili wafurahie matunda ya kukombolewa nchi yao na talibanPiga ngurue za kizungu hizo zinafanya nn nchi ya watu
Tusidanganyane shekh nchi yenye almost half budge ya taifa letu kwenye intelligence yao sio wa kuwachulia poa ata kidogo. Time will tell brother.Huu mchezo aliyoucheza kaukosea sana!
Nakubaliana na wewe time will tell!Tusidanganyane shekh nchi yenye almost half budge ya taifa letu kwenye intelligence yao sio wa kuwachulia poa ata kidogo. Time will tell brother.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Kwahio kile walichokifanya Libya na Iraki sio ugaidi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ugaidi una uhusiano wa moja kwa mojana uislam. Hizi iman zipo zaina 3 kuna wanaoamini kawaida , kuna wa msimamo wa kati na kuna wa msimamo mkali, hawa ndo magaidai. Wewe unayeita watu makafiri upo msimamo wa kati. Na mwislam ambaye anaweza hadi kuoana na kafiri basi huyu ni msimamo wa kati. Hii ipo kwa dini zote. RC ambaye ni msimamo mkali ni mbaya sawa na gaidi. Haoni shida kuua.msabato yy hupinga kila kitu, mlokole yeue haamini kila kitu hata akiugua hatibiwi.