Atafutwe diwani wa Kenya, muongea hovyona mropokwaji amjibu RC wa Tanzania

Atafutwe diwani wa Kenya, muongea hovyona mropokwaji amjibu RC wa Tanzania

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Kuna video inasambaa kwenye mitandao inayomuonyesha RC wa Tanzania akimtukana rais wa Kenya na Wakenya, binafsi sijahangaika kuitazama maana nawafahamu Watanzania ndivyo walivyo, kwao hakuna tofauti ya malofa wa vijiweni na viongozi wa ngazi ya juu, kila mmoja huropokwa bila kuzingatia diplomasia au utaalam.

Muhimu sana asitokee kiongozi wa Kenya hata kwenye level ya mbunge kujishusha hadhi na kumjibu huyo mkuu wa mkoa, au kama vipi yule mbunge anaitwa Jaguar ndiye ajibu, maana yeye akiongea hujadiliwa na Tanzania yote hadi bungeni hadi na waziri mkuu.
Watanzania lazima waelewe kwetu hapa afya ya Wakenya lazima ilindwe kwa nguvu zote, wao kama viongozi wameamua kuwarubuni wananchi kisa umaskini wa nchi, na kuachia watu wajifie kwa corona eti hawataki kuchukua tahadhari maana nchi itaadhirika kiuchumi, sisi hapa lazima kila mtu anayeingia ndani ya nchi apimwe, apimwe apimwe na apimwe....haijalishi watatulilia kwa kiasi gani, lazima wapimwe.

Hizo hasira zao ni cha mtoto sana na haziwezi kusababisha tubadilishe sera, huku tunapima hata wanaosafiri baina ya majimbo au gatuzi iwe kajamba kutoka nje ya nchi ndiye aruhusiwe kutuletea corona. Mambo ya hasira na mizuka ndio zetu tunafahamika Afrika, hivyo hamna jipya hapo, kumtukana rais wetu au Wakenya ni kitu kidogo sana.

Hayo mahindi mnakuja kutuuzia huku na malori tunanunua kwa hela yetu, hivyo haiwezekani tutumie hela zetu kununua corona pia, jeuri ya pesa inatuwezesha kununua mahindi popote tunataka, wewe unatuletea mahindi hakikisha unatii sheria na masharti yetu. Fika mpakani ufanye aidha mojawapo wa haya

- Upimwe corona na kuruhusiwa kupita au
- Upokeze lori lako kwa dereva wa huku ikiwemo hata kuwapa Watanzania walio huku, na lipulizwe kabisa na mtupiane funguo

Madereva wetu wasiruhusiwe kuingia Tanzania maana wakienda kule lazima wageuze na corona.

Inashangaza sana wataalam wa Tanzania wote chali, hakuna anayesema wala kushauri nchi, wameachia wanasiasa waseme vitu vya ajabu ajabu ambavyo haviendani na elimu yoyote ya sayansi.

Hii imesababisha Tanzania itengwe na majirani wote kuanzia SADC hadi EAC.

Mkulu wa Tanzania nilimsikia akisema dereva aliyejiendeshea lori kilomita 1,000km hana haja ya kupimwa, hiyo kuendesha gari kwa umbali ni ishara tosha kwamba ni mzima.
 
Haha napenda sana kiswahili chako mkuu, ama hakika kuna utanzania ndani yako.

Meanwhile, Kenya mlitaka kucheza ecenomic tikitaka kupitia hii corona , sasa kwa vile tumewashtukia kila mtu abaki kwake, yeah tuacheni sisi na corona zetu , pambaneni na hali yenu sisi tutajua tutakapouza hayo mahindi na bidhaa nyingine na nyie mtajua mtakapouza colgate zenu.

Ndani ya wiki 2 mtajua hamjui.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona umeamua kumfanyia matangazo huyo Mkuu wa Mkoa, mimi nilikuwa hata sijui kuhusu hilo, sasa ngoja nikaitafute hiyo video, ...

Hii hapa, hehehe!!! Poleni lakini hatulegezi, hakuna jirani ynu atalegeza kwa sasa, nyie endeleeni kujifia kwa corona huko lakini msituletee balaa lenu...
Huyu sasa ndiye anamkosha rais wenu kwa kuanzisha chochoko na majirani.

 
Wakenya wanawauwa waganda kwa virus

Screenshot_20200519-084323.png
 
Wewe ni punguwani in the name of corona,

Wakati hao nyang'au wenzio wanamtukana rais wa Tanzania hukuona ila umeona sasa?
Kwani Tanzania ikiwa maskini inakuja kuomba msaada Kenya? Umaskini wenu hamuuoni ila kufake maisha tu.
Mmefunga mpaka sasa inakuwaje mnapata new cases za wagonjwa madereva?
Hao punguwani wenzio unaowasifia huko SADC wameshanyoosha maelezo na maisha yanasonga mpaka uko wazi, hamuwezi shindana na giant mkashinda mnabakiza porojo tu.
Mkimwaga mboga twamwaga ugali hesabu rahisi sana, subiri uone maridhiano muda si mrefu mabangi ataelekea chato kujieleza na kuomba msamaha. Hatunaga haraka na vibaraka wa wazungu sisi, hatuigi daima.

Badala uone namna ya ushirikiano inavoboresha maisha wewe hilo furushi lako la kamasi kichwani umelijaza ushindani wa kipumbavu tu.
 
Kumbe wala hujaisikiliza ila umeshaikosoa, hakuna mahali alipomtukana Uhuru, zaidi sana amesema anaitwa freedom ila amewapiga kufuli wananchi wake, anajina kama kufuli lkn amewaachia uhuru raia wake. Hilo ndio tusi. Na amezuia magari yenu sababu madereva wenu 19 wanaopitia tanga wamekutwa na corona, so ni hatua za kujikinga kama mlivyozianzisha nyinyi.
Nazidi kudhihirisha wewe ni mpuuzi sana. Kumbe wala hujamsikiliza.
 
Kumbe wala hujaisikiliza ila umeshaikosoa, hakuna mahali alipomtukana Uhuru, zaidi sana amesema anaitwa freedom ila amewapiga kufuli wananchi wake, anajina kama kufuli lkn amewaachia uhuru raia wake. Hilo ndio tusi. Na amezuia magari yenu sababu madereva wenu 19 wanaopitia tanga wamekutwa na corona, so ni hatua za kujikinga kama mlivyozianzisha nyinyi.
Nazidi kudhihirisha wewe ni mpuuzi sana. Kumbe wala hujamsikiliza.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimeona comments za watu nikachoka hata sikutaka kuitazama maana nawafahamu mlivyoo, kwenu kiongozi yeyote hurupokwa tu.....
Halafu hao Wakenya 19 mliwagundua vipi kuwa na corona ilhali mliacha kupima corona baada ya tikitaka la mapaipai.
Anyway kama kweli mliwagundua na corona, mlichokifanya ni jambo la busara na hatuwezi kulialia kama mnavyofanya tukiwapima, kila anayekuja huko aidha mumpime au mzuie asiingie, hayo ndio maamuzi ya busara.
 
Nimeona comments za watu nikachoka hata sikutaka kuitazama maana nawafahamu mlivyoo, kwenu kiongozi yeyote hurupokwa tu.....
Halafu hao Wakenya 19 mliwagundua vipi kuwa na corona ilhali mliacha kupima corona baada ya tikitaka la mapaipai.
Anyway kama kweli mliwagundua na corona, mlichokifanya ni jambo la busara na hatuwezi kulialia kama mnavyofanya tukiwapima, kila anayekuja huko aidha mumpime au mzuie asiingie, hayo ndio maamuzi ya busara.

IMG_5644.JPG




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom