Atafutwe diwani wa Kenya, muongea hovyona mropokwaji amjibu RC wa Tanzania


Lazima mpimwe, hakuna kuingia kwetu hapa ukinuka corona, balozi kuja kuwatekenya hilo halibadilishi kitu.
 
Lazima mpimwe, hakuna kuingia kwetu hapa ukinuka corona, balozi kuja kuwatekenya hilo halibadilishi kitu.
Hakuna anaekataa kupimwa,tatizo ni kwamba kila mtanzania mnasema.ana.corona,lakini mkenya akitoka Tanzania hana!tumestukia lengo lenu ni kutuchafua ili watalii waogope,sasa tushindane tuone nani atanyanyua mikono
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha kawaumbua akarudia kupima Madereva 19 ambao Kenya iliona wana Corona na Majibu yameonyesha kuwa hawana Corona

Mbinu zenu chafu zimekwama
 
Rais wenu amejibiwa na MaRC tu wala si Rais wetu! Sasa mnahaha ile mbaya!! Ni dharau iliyoje!! Balozi wenu ameambiwa na Prof. Kabudi hana nafasi ya kumwona mpaka after 2 weeks yuko busy!! Hahaha!
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha kawaumbua akarudia kupima Madereva 19 ambao Kenya iliona wana Corona na Majibu yameonyesha kuwa hawana Corona

Mbinu zenu chafu zimekwama

Hehehe nyie watu kituko, sasa mkuu wa mkoa ndiye anapima, sio waziri Ummy na wizara yake, vipi movie ya mapaipai na oili ya gari iliishia wapi, yaani hadi hii show iishe mtakua mumechekesha sana.
 
Rais wenu amejibiwa na MaRC tu wala si Rais wetu! Sasa mnahaha ile mbaya!! Ni dharau iliyoje!! Balozi wenu ameambiwa na Prof. Kabudi hana nafasi ya kumwona mpaka after 2 weeks yuko busy!! Hahaha!

Rais wetu wala hana mudda na hizo show zenu, akiwa na nia ya kuongea na mataifa majirani kuhusu Corona huwa anafanya video call, wale ambao kingereza kinawatatiza wanaishia mitini.
Balozi aliwakuna ili muache kulialia kwanini mnapimwa, na mpaka hapo hatubadilishi kitu, mtapimwa kwa kwenda mbele.
Huko kwenu mktaka mpime msipime mtajua wenyewe, nchi ni yenu na sheria ni zenu.
 
Mtanyooka tu na mbinu zenu za kijinga sasa tunaendelea kuwaliamingo wakenya wote wanaofanyakazi hapa TZ ukifika wakati muafaka tuwarudishe kwenu!
 
Vipi mmeacha kupika mawe?
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…