Atajitahidi lakini watega mitego na wacheza Amapiano 2025 wamedhamiria

Atajitahidi lakini watega mitego na wacheza Amapiano 2025 wamedhamiria

Imani ilijaa kwake,pale alipotutoka kwa huzuni mwendazake.
viatu alikiri vikubwa kwake,lakini tukamsihi akaze vyema gidamu zake.

njia ilikuwa nyeupe kwake,kwani iliwekwa lami na mwendazake.
japo sote tulimsihi ,njiani umakini auweke,wapo wahuni ambao hapo mwanzo tuliwapiga mateke.

tukamsihi asivutwe na zao hila, pale watakapompiga ukope!!
sijui nn kilimkuta ,mbona ameunga tela na wapiga ukope!!?

wanatukaririsha eti hekalu ni maskini,wanahekalu sio tena mabwege,ukweli uliwekwa wazi na mwendazake!

usipoteze nguvu kumtetea ,atavuna anachokipanda kwa mikono yake!
chaguo ni lake,aambatane na wapiga kope,au airudie njia aliyoichonga mwendazake!!
 
2025 tunampa tena, na akitaka kuwakomesha atupe Katiba mpya, tena Ile ya Warioba.
Akae akijua ni Mungu ndiye kamuweka pale Ili atupatie nuru na machweo mapya (Katiba mpya).....katika waliobaki sioni wa kukalia kile kiti kisha tukasalimika, lazima tuwe na Katiba ya kuwadhibiti.
Samia tunakuomba tuvushe, Mungu amekuchagua utuvushe, tuachie Katiba ya Warioba.
Hawezi kubali atapigwa chini
 
Imani yako ni potofu. Wale tu waliokua wanafanya vikao vya ndani kuhusu katiba salikamatwa wakalala selo
Mwingine kapewa ugaidi.
Katiba kuleta kwa kupenda yeye hilo halipo, yeye yupo pale kwa sababu ya CCM.
Naunga mkono hoja katiba mpya ni haki yetu siyo hisani yake
 
2025 tunampa tena, na akitaka kuwakomesha atupe Katiba mpya, tena Ile ya Warioba.
Akae akijua ni Mungu ndiye kamuweka pale Ili atupatie nuru na machweo mapya (Katiba mpya).....katika waliobaki sioni wa kukalia kile kiti kisha tukasalimika, lazima tuwe na Katiba ya kuwadhibiti.
Samia tunakuomba tuvushe, Mungu amekuchagua utuvushe, tuachie Katiba ya Warioba.

Katiba simlisha ambiwa msahau kwanza ama we ulikuwa wapi.
 
Kwema wakuu!

Kila nikijitahidi kumtetea naona inakataa. Kila nikijaribu kuona Kama itawezekana naona haiwezekani.

Anaweza fanya mazuri kuliko waliopita lakini jicho langu kutoka nyota ya Tibeli halimuoni kama atakubalika na wacheza Amapiano.

Sapoti ni Kama itaanza kuyeyuka Sirius kuanzia 2023, mivurugano mikali na mafarakano yapo waziwazi.
Lango litakuwa wazi lakini litakuwa na mitego mingi mibaya. Ataingia lakini atajikuta yupo nje. Atasema lakini ataona anajifokea mwenyewe. Atajipamba lakini atajiona dhalili. Sijui kwakweli!

Kama atakuwa mjanja ataaga na kuacha lango Kwa wategaji lakini wapiga Amapiano nao watavurugana na watega mitego. Hapa kazi ipo.

Sisi tutaangalia tuu.
Labda akinambia nimshauri; anaweza zichanga karata zake na Makuhani wavaa majoho huko madhabahuni ingawaje jicho langu linawaona makuhani mwakani 2022 wakitema dhabihu na kuchoma uvumba, akiwawahi mapema hawezitema nyongo, na hiyo inaweza kuwa Dalili nzuri.

Akiwashika Mkono maliwali, makadhi, maakida na jemadari huenda ikawa Kheri kwake lakini asichelewe Sana.

Hofu yangu ipo Kwa watega mitego, na wacheza Amapiano ambao wanataka kutrend Kwa kila Ngoma wanaoiachia hawa wanataka mpaka 2025 wawe wamekubalika.

Niishie hapa tuu

Kumbuka 2022 ni mwaka wa Makuhani kutema nyongo na kufukiza uvumba. Bahati sio mbali ni wiki moja ijayo.


Wasalamu!

Akipambana akafanya adjustment ya viatu vya mwendazake vikimtosha vizuri na wapitanjia wakiona kweli vimemtosha wakati anatembea na hata akikimbia haanguki,basi nakuhakikishia 2025 mapema sa5 asubuhi atakuwa anademka tu na miluzi kibao.

Ila nnamashaka msoga anaweza akamuingiza chaka, na hawa nyumbu akiwasikiliza ndio atalikoroga kabisa.

Awaangalie sana hawa wanafiki asidhani wanamsifia bure wanamchongowao,wanataka ajenda zao zikamilike.
 
Kwema wakuu!

Kila nikijitahidi kumtetea naona inakataa. Kila nikijaribu kuona Kama itawezekana naona haiwezekani.

Anaweza fanya mazuri kuliko waliopita lakini jicho langu kutoka nyota ya Tibeli halimuoni kama atakubalika na wacheza Amapiano.

Sapoti ni Kama itaanza kuyeyuka Sirius kuanzia 2023, mivurugano mikali na mafarakano yapo waziwazi.
Lango litakuwa wazi lakini litakuwa na mitego mingi mibaya. Ataingia lakini atajikuta yupo nje. Atasema lakini ataona anajifokea mwenyewe. Atajipamba lakini atajiona dhalili. Sijui kwakweli!

Kama atakuwa mjanja ataaga na kuacha lango Kwa wategaji lakini wapiga Amapiano nao watavurugana na watega mitego. Hapa kazi ipo.

Sisi tutaangalia tuu.
Labda akinambia nimshauri; anaweza zichanga karata zake na Makuhani wavaa majoho huko madhabahuni ingawaje jicho langu linawaona makuhani mwakani 2022 wakitema dhabihu na kuchoma uvumba, akiwawahi mapema hawezitema nyongo, na hiyo inaweza kuwa Dalili nzuri.

Akiwashika Mkono maliwali, makadhi, maakida na jemadari huenda ikawa Kheri kwake lakini asichelewe Sana.

Hofu yangu ipo Kwa watega mitego, na wacheza Amapiano ambao wanataka kutrend Kwa kila Ngoma wanaoiachia hawa wanataka mpaka 2025 wawe wamekubalika.

Niishie hapa tuu

Kumbuka 2022 ni mwaka wa Makuhani kutema nyongo na kufukiza uvumba. Bahati sio mbali ni wiki moja ijayo.


Wasalamu!
Samia Hadi 2035, hakuna mbwa wakumpinga,
 
Akipambana akafanya adjustment ya viatu vya mwendazake vikimtosha vizuri na wapitanjia wakiona kweli vimemtosha wakati anatembea na hata akikimbia haanguki,basi nakuhakikishia 2025 mapema sa5 asubuhi atakuwa anademka tu na miluzi kibao.

Ila nnamashaka msoga anaweza akamuingiza chaka, na hawa nyumbu akiwasikiliza ndio atalikoroga kabisa.

Awaangalie sana hawa wanafiki asidhani wanamsifia bure wanamchongowao,wanataka ajenda zao zikamilike.
Yaani avae viatu vya dikteta muuaji,
 
Kwema wakuu!

Kila nikijitahidi kumtetea naona inakataa. Kila nikijaribu kuona Kama itawezekana naona haiwezekani.

Anaweza fanya mazuri kuliko waliopita lakini jicho langu kutoka nyota ya Tibeli halimuoni kama atakubalika na wacheza Amapiano.

Sapoti ni Kama itaanza kuyeyuka Sirius kuanzia 2023, mivurugano mikali na mafarakano yapo waziwazi.
Lango litakuwa wazi lakini litakuwa na mitego mingi mibaya. Ataingia lakini atajikuta yupo nje. Atasema lakini ataona anajifokea mwenyewe. Atajipamba lakini atajiona dhalili. Sijui kwakweli!

Kama atakuwa mjanja ataaga na kuacha lango Kwa wategaji lakini wapiga Amapiano nao watavurugana na watega mitego. Hapa kazi ipo.

Sisi tutaangalia tuu.
Labda akinambia nimshauri; anaweza zichanga karata zake na Makuhani wavaa majoho huko madhabahuni ingawaje jicho langu linawaona makuhani mwakani 2022 wakitema dhabihu na kuchoma uvumba, akiwawahi mapema hawezitema nyongo, na hiyo inaweza kuwa Dalili nzuri.

Akiwashika Mkono maliwali, makadhi, maakida na jemadari huenda ikawa Kheri kwake lakini asichelewe Sana.

Hofu yangu ipo Kwa watega mitego, na wacheza Amapiano ambao wanataka kutrend Kwa kila Ngoma wanaoiachia hawa wanataka mpaka 2025 wawe wamekubalika.

Niishie hapa tuu

Kumbuka 2022 ni mwaka wa Makuhani kutema nyongo na kufukiza uvumba. Bahati sio mbali ni wiki moja ijayo.


Wasalamu!
Samia ni dhaifu.Aondoke.
 
Akipambana akafanya adjustment ya viatu vya mwendazake vikimtosha vizuri na wapitanjia wakiona kweli vimemtosha wakati anatembea na hata akikimbia haanguki,basi nakuhakikishia 2025 mapema sa5 asubuhi atakuwa anademka tu na miluzi kibao.

Ila nnamashaka msoga anaweza akamuingiza chaka, na hawa nyumbu akiwasikiliza ndio atalikoroga kabisa.

Awaangalie sana hawa wanafiki asidhani wanamsifia bure wanamchongowao,wanataka ajenda zao zikamilike.
Hii inchi ni tofauti mnavyozungumza mamlaka ya Rais yalivyo.utafikiri Rais ni sawa na balozi wa nyumba kumi hivi mnafikiri Samia ni kilaza sana.hakuna wa kumsumbua samia hata kidogo na hakuna watu wepesi kuwatawala na wanafiki kama ccm mkuu.
 
Mkuu Heriel nikuambie tu Raisi ajaye ni muislamu Mwanamme mwenye misimamo kama ya jpm!!!Mama kaishafeli ameanza kampeni mapema mno!!Ndugai na pole pole hawabweki Bure wameona mnofu mahali!!
 
Kwema wakuu!

Kila nikijitahidi kumtetea naona inakataa. Kila nikijaribu kuona Kama itawezekana naona haiwezekani.

Anaweza fanya mazuri kuliko waliopita lakini jicho langu kutoka nyota ya Tibeli halimuoni kama atakubalika na wacheza Amapiano.

Sapoti ni Kama itaanza kuyeyuka Sirius kuanzia 2023, mivurugano mikali na mafarakano yapo waziwazi.
Lango litakuwa wazi lakini litakuwa na mitego mingi mibaya. Ataingia lakini atajikuta yupo nje. Atasema lakini ataona anajifokea mwenyewe. Atajipamba lakini atajiona dhalili. Sijui kwakweli!

Kama atakuwa mjanja ataaga na kuacha lango Kwa wategaji lakini wapiga Amapiano nao watavurugana na watega mitego. Hapa kazi ipo.

Sisi tutaangalia tuu.
Labda akinambia nimshauri; anaweza zichanga karata zake na Makuhani wavaa majoho huko madhabahuni ingawaje jicho langu linawaona makuhani mwakani 2022 wakitema dhabihu na kuchoma uvumba, akiwawahi mapema hawezitema nyongo, na hiyo inaweza kuwa Dalili nzuri.

Akiwashika Mkono maliwali, makadhi, maakida na jemadari huenda ikawa Kheri kwake lakini asichelewe Sana.

Hofu yangu ipo Kwa watega mitego, na wacheza Amapiano ambao wanataka kutrend Kwa kila Ngoma wanaoiachia hawa wanataka mpaka 2025 wawe wamekubalika.

Niishie hapa tuu

Kumbuka 2022 ni mwaka wa Makuhani kutema nyongo na kufukiza uvumba. Bahati sio mbali ni wiki moja ijayo.


Wasalamu!
Mkuu kutokana na namna ambavyo una zoom kwa jicho lako, vipi hao watega mitego ni akina nani hao?? Na vipi wacheza amapiano ni akina nani nao??
Shukurani mkuu.
 
Mkuu Heriel nikuambie tu Raisi ajaye ni muislamu Mwanamme mwenye misimamo kama ya jpm!!!Mama kaishafeli ameanza kampeni mapema mno!!Ndugai na pole pole hawabweki Bure wameona mnofu mahali!!
gpm alikuwa na misimamo au dikteta,

Samia yupo Hadi 2035, nyie mbwa mnajipa matumaini hewa
 
Sijabisha, na inaniuma yeye kuwa ndani....tulipotofautiana Mimi na yeye ni timing ya kudai Katiba, bhaaas
Madai ya katiba mpyambona yalianza toka mwisho mwa miaka ya 80 mpaka leo ni muendelezo hakuna timing
 
Back
Top Bottom