Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Yaani avae viatu vya dikteta muuaji,
Bila shaka nawewe ni mlopokaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani avae viatu vya dikteta muuaji,
"Rais ajaye ni Mwanamke.... Mwenye misimamo kama ya JPM" vipi huyo ni Jennista Mhagama au??Mkuu Heriel nikuambie tu Raisi ajaye ni muislamu Mwanamme mwenye misimamo kama ya jpm!!!Mama kaishafeli ameanza kampeni mapema mno!!Ndugai na pole pole hawabweki Bure wameona mnofu mahali!!
Hoja za kindezi Sana hizi daah, sijawahi kuona duniani kote kudai katiba kuwa ni hisani. Hivi umewahi kujiuliza hii katiba, ambayo hata Nyerere Mara kadhaa amewahi kunukuliwa akisema ni rahisi Sana kutumiwa vibaya kama kiongozi hatakuwa makini, je iliwahi kubadilishwa kwa njia shirikishi?Wale hata Mimi walinikera, mtu kaingia madarakani miezi sita hana mnamdai Katiba? Mtu mwenyewe kaachiwa mamiradi mikubwa ambayo pesa za kuiendeleza haijulikani inatokea wapi, ndo yanakuja haya ya asikope, tukamuane.....wakati huo huo miaka iliyopita Katiba ilikuwa inasiginwa kweli kweli walinyamaza, tena walikimbia nchi wakituacha tusio na Kwa kukimbilia tuteseke peke yetu.
Tumpe muda, dereva azoee gari, kisha tumuelekeze tunataka kupita njia gani.
Mwanamme !!"Rais ajaye ni Mwanamke.... Mwenye misimamo kama ya JPM" vipi huyo ni Jennista Mhagama au??
RAISI AJAYE sawa nimekuelewa, vipi mwenye misimamo kama JPM ni Pm Majaaliwa au?Mwanamme !!
Soma vizuri!!
Nakukumbusha tu 2025 fomu ya mgombea urais ndani ya CCM itatolewa MOJA TU kama ilivyokuwa 2015.Kwema wakuu!
Kila nikijitahidi kumtetea naona inakataa. Kila nikijaribu kuona Kama itawezekana naona haiwezekani.
Anaweza fanya mazuri kuliko waliopita lakini jicho langu kutoka nyota ya Tibeli halimuoni kama atakubalika na wacheza Amapiano.
Sapoti ni Kama itaanza kuyeyuka Sirius kuanzia 2023, mivurugano mikali na mafarakano yapo waziwazi.
Lango litakuwa wazi lakini litakuwa na mitego mingi mibaya. Ataingia lakini atajikuta yupo nje. Atasema lakini ataona anajifokea mwenyewe. Atajipamba lakini atajiona dhalili. Sijui kwakweli!
Kama atakuwa mjanja ataaga na kuacha lango Kwa wategaji lakini wapiga Amapiano nao watavurugana na watega mitego. Hapa kazi ipo.
Sisi tutaangalia tuu.
Labda akinambia nimshauri; anaweza zichanga karata zake na Makuhani wavaa majoho huko madhabahuni ingawaje jicho langu linawaona makuhani mwakani 2022 wakitema dhabihu na kuchoma uvumba, akiwawahi mapema hawezitema nyongo, na hiyo inaweza kuwa Dalili nzuri.
Akiwashika Mkono maliwali, makadhi, maakida na jemadari huenda ikawa Kheri kwake lakini asichelewe Sana.
Hofu yangu ipo Kwa watega mitego, na wacheza Amapiano ambao wanataka kutrend Kwa kila Ngoma wanaoiachia hawa wanataka mpaka 2025 wawe wamekubalika.
Niishie hapa tuu
Kumbuka 2022 ni mwaka wa Makuhani kutema nyongo na kufukiza uvumba. Bahati sio mbali ni wiki moja ijayo.
Wasalamu!
Nakukumbusha tu 2025 fomu ya mgombea urais ndani ya CCM itatolewa MOJA TU kama ilivyokuwa 2020.Kwema wakuu!
Kila nikijitahidi kumtetea naona inakataa. Kila nikijaribu kuona Kama itawezekana naona haiwezekani.
Anaweza fanya mazuri kuliko waliopita lakini jicho langu kutoka nyota ya Tibeli halimuoni kama atakubalika na wacheza Amapiano.
Sapoti ni Kama itaanza kuyeyuka Sirius kuanzia 2023, mivurugano mikali na mafarakano yapo waziwazi.
Lango litakuwa wazi lakini litakuwa na mitego mingi mibaya. Ataingia lakini atajikuta yupo nje. Atasema lakini ataona anajifokea mwenyewe. Atajipamba lakini atajiona dhalili. Sijui kwakweli!
Kama atakuwa mjanja ataaga na kuacha lango Kwa wategaji lakini wapiga Amapiano nao watavurugana na watega mitego. Hapa kazi ipo.
Sisi tutaangalia tuu.
Labda akinambia nimshauri; anaweza zichanga karata zake na Makuhani wavaa majoho huko madhabahuni ingawaje jicho langu linawaona makuhani mwakani 2022 wakitema dhabihu na kuchoma uvumba, akiwawahi mapema hawezitema nyongo, na hiyo inaweza kuwa Dalili nzuri.
Akiwashika Mkono maliwali, makadhi, maakida na jemadari huenda ikawa Kheri kwake lakini asichelewe Sana.
Hofu yangu ipo Kwa watega mitego, na wacheza Amapiano ambao wanataka kutrend Kwa kila Ngoma wanaoiachia hawa wanataka mpaka 2025 wawe wamekubalika.
Niishie hapa tuu
Kumbuka 2022 ni mwaka wa Makuhani kutema nyongo na kufukiza uvumba. Bahati sio mbali ni wiki moja ijayo.
Wasalamu!
Hamna lolote!2025 tunampa tena, na akitaka kuwakomesha atupe Katiba mpya, tena Ile ya Warioba.
Akae akijua ni Mungu ndiye kamuweka pale Ili atupatie nuru na machweo mapya (Katiba mpya).....katika waliobaki sioni wa kukalia kile kiti kisha tukasalimika, lazima tuwe na Katiba ya kuwadhibiti.
Samia tunakuomba tuvushe, Mungu amekuchagua utuvushe, tuachie Katiba ya Warioba.
Review your historyNakukumbusha tu 2025 fomu ya mgombea urais ndani ya CCM itatolewa MOJA TU kama ilivyokuwa 2015.
😅😅😅Akiwashika Mkono maliwali, makadhi, maakida na jemadari huenda ikawa Kheri kwake lakini asichelewe Sana.
Swadakta2025 tunampa tena, na akitaka kuwakomesha atupe Katiba mpya, tena Ile ya Warioba.
Akae akijua ni Mungu ndiye kamuweka pale Ili atupatie nuru na machweo mapya (Katiba mpya).....katika waliobaki sioni wa kukalia kile kiti kisha tukasalimika, lazima tuwe na Katiba ya kuwadhibiti.
Samia tunakuomba tuvushe, Mungu amekuchagua utuvushe, tuachie Katiba ya Warioba.
Ahsante mkuu ni 2020
Na katika kubutua wote wakose ccm wateleta Katiba mpya 2026.2025 tunampa tena, na akitaka kuwakomesha atupe Katiba mpya, tena Ile ya Warioba.
Akae akijua ni Mungu ndiye kamuweka pale Ili atupatie nuru na machweo mapya (Katiba mpya).....katika waliobaki sioni wa kukalia kile kiti kisha tukasalimika, lazima tuwe na Katiba ya kuwadhibiti.
Samia tunakuomba tuvushe, Mungu amekuchagua utuvushe, tuachie Katiba ya Warioba.
2025 tunampa tena, na akitaka kuwakomesha atupe Katiba mpya, tena Ile ya Warioba.
Akae akijua ni Mungu ndiye kamuweka pale Ili atupatie nuru na machweo mapya (Katiba mpya).....katika waliobaki sioni wa kukalia kile kiti kisha tukasalimika, lazima tuwe na Katiba ya kuwadhibiti.
Samia tunakuomba tuvushe, Mungu amekuchagua utuvushe, tuachie Katiba ya Warioba.
Tuko Pamoja na MAMA mpka 2030 Ndipo atakapoingia mtu mwingine.
MAMA MPAKA 2030Mungu ndiye Muamuzi.
Yeye ndiye huweka wafalme na yeye ndiye huwaondoa