Atajitahidi lakini watega mitego na wacheza Amapiano 2025 wamedhamiria

Imani ilijaa kwake,pale alipotutoka kwa huzuni mwendazake.
viatu alikiri vikubwa kwake,lakini tukamsihi akaze vyema gidamu zake.

njia ilikuwa nyeupe kwake,kwani iliwekwa lami na mwendazake.
japo sote tulimsihi ,njiani umakini auweke,wapo wahuni ambao hapo mwanzo tuliwapiga mateke.

tukamsihi asivutwe na zao hila, pale watakapompiga ukope!!
sijui nn kilimkuta ,mbona ameunga tela na wapiga ukope!!?

wanatukaririsha eti hekalu ni maskini,wanahekalu sio tena mabwege,ukweli uliwekwa wazi na mwendazake!

usipoteze nguvu kumtetea ,atavuna anachokipanda kwa mikono yake!
chaguo ni lake,aambatane na wapiga kope,au airudie njia aliyoichonga mwendazake!!
 
Hawezi kubali atapigwa chini
 
Imani yako ni potofu. Wale tu waliokua wanafanya vikao vya ndani kuhusu katiba salikamatwa wakalala selo
Mwingine kapewa ugaidi.
Katiba kuleta kwa kupenda yeye hilo halipo, yeye yupo pale kwa sababu ya CCM.
Naunga mkono hoja katiba mpya ni haki yetu siyo hisani yake
 

Katiba simlisha ambiwa msahau kwanza ama we ulikuwa wapi.
 

Akipambana akafanya adjustment ya viatu vya mwendazake vikimtosha vizuri na wapitanjia wakiona kweli vimemtosha wakati anatembea na hata akikimbia haanguki,basi nakuhakikishia 2025 mapema sa5 asubuhi atakuwa anademka tu na miluzi kibao.

Ila nnamashaka msoga anaweza akamuingiza chaka, na hawa nyumbu akiwasikiliza ndio atalikoroga kabisa.

Awaangalie sana hawa wanafiki asidhani wanamsifia bure wanamchongowao,wanataka ajenda zao zikamilike.
 
Samia Hadi 2035, hakuna mbwa wakumpinga,
 
Yaani avae viatu vya dikteta muuaji,
 
Samia ni dhaifu.Aondoke.
 
Hii inchi ni tofauti mnavyozungumza mamlaka ya Rais yalivyo.utafikiri Rais ni sawa na balozi wa nyumba kumi hivi mnafikiri Samia ni kilaza sana.hakuna wa kumsumbua samia hata kidogo na hakuna watu wepesi kuwatawala na wanafiki kama ccm mkuu.
 
Mkuu Heriel nikuambie tu Raisi ajaye ni muislamu Mwanamme mwenye misimamo kama ya jpm!!!Mama kaishafeli ameanza kampeni mapema mno!!Ndugai na pole pole hawabweki Bure wameona mnofu mahali!!
 
Mkuu kutokana na namna ambavyo una zoom kwa jicho lako, vipi hao watega mitego ni akina nani hao?? Na vipi wacheza amapiano ni akina nani nao??
Shukurani mkuu.
 
Mkuu Heriel nikuambie tu Raisi ajaye ni muislamu Mwanamme mwenye misimamo kama ya jpm!!!Mama kaishafeli ameanza kampeni mapema mno!!Ndugai na pole pole hawabweki Bure wameona mnofu mahali!!
gpm alikuwa na misimamo au dikteta,

Samia yupo Hadi 2035, nyie mbwa mnajipa matumaini hewa
 
Sijabisha, na inaniuma yeye kuwa ndani....tulipotofautiana Mimi na yeye ni timing ya kudai Katiba, bhaaas
Madai ya katiba mpyambona yalianza toka mwisho mwa miaka ya 80 mpaka leo ni muendelezo hakuna timing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…